Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

nimemuambia mwanangu jina la huyo asiye mjua,, nimerudia mara tatu sema ALLY KIBA,,, ALLY KIBA ,, ALLY KIBA,,, nae akasema. kasahamjua king wao.

hahahahaaahhaa.

ana sing along vizuri hii ngoma ya mwana.
 
yess,,, I agree ....like my son/daughter.
Shemale kid?anyways kuna nyimbo watoto wanapenda sana,kama za mr.nice!Ya chameleon haijui does it mean chameleon hana soko la mziki? atoto Matola, njoo ucheke?
 
Last edited by a moderator:
Shemale kid?anyways kuna nyimbo watoto wanapenda sana,kama za mr.nice!Ya chameleon haijui does it mean chameleon hana soko la mziki?@Matola njoo ucheke?

you could never be any better...!!
 
User Name: ollo
User Title: Member
Last Activity: Today
20:18.

Whats ur 1st id.?
ollo
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona sio vibaya kumsifia mpenzi wake,na sio busara kuwaponda waliopita.Mengine tuwaachie wenyewe (diamond & Zari)

Well said hakua na sababu ya kumtangaza penny vile anamuweka kwenye mazingira mabaya mwenzie
 
kumbe na wewe una akili kama za mtoto wako kiba anapendwa na watu timamu wanaojitambua na sio wacheza vigodoro sasa jitambue upo kundi gani
 
kumbe na wewe una akili kama za mtoto wako kiba anapendwa na watu timamu wanaojitambua na sio wacheza vigodoro sasa jitambue upo kundi gani

Sasa na wewe pampula ukiongea hivi.

What d u mean.? Au gongo.?
 
Last edited by a moderator:
Ivi .., najiuiliza, ni kweli bado diamond ana haters kwa TANZANIA.....
?!!?

NTAKUA WA MWISHO KUAMINI HILI....

AND FOR WHAT EXACTLY..???!! DAMN IT!
 
Sasa nahii nayo habari ya kupost jamani?

Diamond yupo tu na ally kiba yupo tu, issue ya mtoto kutaja Diamond haimaanishi lolote ni urahisi wa kutamka maneno tu kama anavyoweza kuita mama na sio baba, jina la baba kwa mtoto hua linaanza kusikika baadae sana lakini haina maana kwamba baba hana umuhimu kwa mtoto
 
Sasa nahii nayo habari ya kupost jamani?

Diamond yupo tu na ally kiba yupo tu, issue ya mtoto kutaja Diamond haimaanishi lolote ni urahisi wa kutamka maneno tu kama anavyoweza kuita mama na sio baba, jina la baba kwa mtoto hua linaanza kusikika baadae sana lakini haina maana kwamba baba hana umuhimu kwa mtoto

Hahahahahaha hahahahaaaa... UMENIFURAHISHA SANA.....


Kwahyo Mama na Baba ni nani kati ya DIAMOND na ALLY..?!!

Aisee!!
 
Hahahaaa,, leo itafahamika BABA NI NANI na MAMA NI NANI.,,

kati ya Diamond na Ally.
 
kumbe na wewe una akili kama za mtoto wako kiba anapendwa na watu timamu wanaojitambua na sio wacheza vigodoro sasa jitambue upo kundi gani

Mlimdangamya Kiba akatengeneze video SA kama diamond, matokeo yake imekua vituko ameishia kukata viuno tu.
 
Back
Top Bottom