Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

aisee..,, whats ur original ID Stranger ..!!?

Kama nakujua hivi.
 
Last edited by a moderator:
Wema wanashangilia...
Wabaya wanatamani kuliaaaa...
Kumbe nia yao hawapendi mimi nipige bao.....
Kumbe nia yao wanataka njwe chini yao....haooo...
20%
 
kajibebea tuzo nyingine.,..!!

R.I.P haters.
Ila siamini kama DIAMOND bado ana haters.

And if theres any (damn) hater out there... Are cursed.
 
Nimetulia tu hapa home saafi na family.. Nikaamua zicheza video mpya nilizozidownload mpya mpya.

Sasa nikaanza icheza ya DIAMOND - NTAMPATA WAPI...

Nikashaangaa sana , mwanangu 3 yrs now akapiga kelele , damondi, damondi., aisee.

Nikasema isiwe kesi nikaiplay na mwana ya ALLY.., nkamuuliza na huyu nani.,,

akajibu SIMJUI, SIMJUI, SIMJUIII...,

hahahaha.. NIMECHEKA SANA, AFU NIKAJIULIZA INA MAANA MWANANGU ANAAKILI KULIKO WATU WAZIMA.

AISEE.

mkuu unachoongea hata sio uongo maana juzi nilikua kwa rafiki yangu nyimbo ya mdogomdogo ilikua ikipigwa sasa kulikua na mtoto wa miaka kama 2:5 hiv akaanza kusema dogodogo dogodogo huku akielekea njee haraka kwenda chumba chao kilichokua kikipigwa huo wimbo
 
mimi nina choona kuwa wasaanii wengine wa TZ hawana mbwembwe za Diamond ndo maana habari za diamond zinavuma sana.......ni kama wak pembeni vile.....huku Diamond yuko uwanjani..

wanashindwa nini kuwaweka wapenzi wao tuwaone....Zari anaweza kuwa mzuri sana au sio mzuri kulinganisha na wanawake wa wasanii wengine but hao wengine mbona wanaficha ficha watu wao?
sa kila mtu ana madem na wapenzi 50, wakisema wapande nao jukwaani mashabiki tutakosa hata pa kukanyaga na stage haitatosha!!!
ukiona mtu anamfichaficha mpenzi wake lazma kuna makweshen mak
 
kuna clip moja mtoto wa std 2 anaulizwa rais wa nchi ni nani anajibu diamond platnum...watoto wa sasa habari zao ni diamond na chadema!!!
 
Penny ajibu mapigo.
Mwaga mbonga nami namwaga ugali,bigwa wa kuzalilisha maex wake Diamond hana uwezo wa kumpa mwanamke ujauzipo kama Penny alivyosema.
 
Nilitaka nishangae uwezi ukawa unatembea na rome jones ukawa rijali ata cku 1
 
mkuu unachoongea hata sio uongo maana juzi nilikua kwa rafiki yangu nyimbo ya mdogomdogo ilikua ikipigwa sasa kulikua na mtoto wa miaka kama 2:5 hiv akaanza kusema dogodogo dogodogo huku akielekea njee haraka kwenda chumba chao kilichokua kikipigwa huo wimbo

umeona sasa..., jamaa kashika vibaayaaa!
 
Back
Top Bottom