Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa


Pamoja sana mkuu.
 

asante we pia
 
Last edited by a moderator:
heri nawe mkuu, pamoja sana! muziki wa live una raha yake mkuu, hapa najipanga niweze kufika kwenye show yake ya diamonds are forever
 

pamoja sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Nawe pia Innocizy le super fan, muzee ya mapichaaa...mwaka huu uwe mwema kwako...

Hahahaha nmecheka kwa sauti mpaka nimeulizwa vipii....ikabidi nijibu "panya road" hahahaa maana ningesema jf ingekua hatari...
Nashukuru sana.
 
Last edited by a moderator:
One of best scenes ever katika nyimbo bora ever za star wetu....hiii ni katika nitarejea.....bongo movie wanaweza iga kitu hapa
 

Attachments

  • 1420288223759.jpg
    63 KB · Views: 147

Liked · 57 mins ·
Ndugu zangu, Kijana wenu nimechaguliwa kuperform kwenye Tunzo za Wanasoka Bora Afrika#GloCafAwards zifanyikazo tareh 8 mwezi huu Mjini Lagos Nigeria... Tafadhali naombeni Dua zenu ili nikaifanye Kazi Vyema....

(Jus to let you know that your boy Platnumz will be performing live at the 2014 Glo-CAF Awards in Lagos Nigeria 8th Jan 2014... )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…