Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Wakuu wote humu ndani tukiongozwa na mleta Uzi Chinga One niwapongeze kwa Yale ya mwaka jana na niwatakie heri ya mwaka mpya 2015.

Naomba niseme jamaa anapata ushauri wetu sana..maana nakumbuka ushauri uliojaa sana last year kuanzia kwa post yangu hiii ya "diamond na yemi" na humu ilikua ni kuhusu kupiga live.
Nashukuru ushauri wetu jamaa kaupokea na show ya dar live ndio ilikua live ikafuatiwa na Bujumbura na Kigali.
Hivyo niwaombe this year sisi tupige kazi ya kupongeza na kushauri tu ili kijana aendelee kujiimarisha zaidi....majisifu tuwaachie wengine maana "kizuri chajiuza..........."
Hongereni sana guys.
Happy new year.





Wale wa povu pia ruksa kucomment.......

Pamoja sana mkuu.
 
Wakuu wote humu ndani tukiongozwa na mleta Uzi Chinga One niwapongeze kwa Yale ya mwaka jana na niwatakie heri ya mwaka mpya 2015.

Naomba niseme jamaa anapata ushauri wetu sana..maana nakumbuka ushauri uliojaa sana last year kuanzia kwa post yangu hiii ya "diamond na yemi" na humu ilikua ni kuhusu kupiga live.
Nashukuru ushauri wetu jamaa kaupokea na show ya dar live ndio ilikua live ikafuatiwa na Bujumbura na Kigali.
Hivyo niwaombe this year sisi tupige kazi ya kupongeza na kushauri tu ili kijana aendelee kujiimarisha zaidi....majisifu tuwaachie wengine maana "kizuri chajiuza..........."
Hongereni sana guys.
Happy new year.





Wale wa povu pia ruksa kucomment.......

asante we pia
 
Last edited by a moderator:
Wakuu wote humu ndani tukiongozwa na mleta Uzi Chinga One niwapongeze kwa Yale ya mwaka jana na niwatakie heri ya mwaka mpya 2015.

Naomba niseme jamaa anapata ushauri wetu sana..maana nakumbuka ushauri uliojaa sana last year kuanzia kwa post yangu hiii ya "diamond na yemi" na humu ilikua ni kuhusu kupiga live.
Nashukuru ushauri wetu jamaa kaupokea na show ya dar live ndio ilikua live ikafuatiwa na Bujumbura na Kigali.
Hivyo niwaombe this year sisi tupige kazi ya kupongeza na kushauri tu ili kijana aendelee kujiimarisha zaidi....majisifu tuwaachie wengine maana "kizuri chajiuza..........."
Hongereni sana guys.
Happy new year.





Wale wa povu pia ruksa kucomment.......
heri nawe mkuu, pamoja sana! muziki wa live una raha yake mkuu, hapa najipanga niweze kufika kwenye show yake ya diamonds are forever
 
Wakuu wote humu ndani tukiongozwa na mleta Uzi Chinga One niwapongeze kwa Yale ya mwaka jana na niwatakie heri ya mwaka mpya 2015.

Naomba niseme jamaa anapata ushauri wetu sana..maana nakumbuka ushauri uliojaa sana last year kuanzia kwa post yangu hiii ya "diamond na yemi" na humu ilikua ni kuhusu kupiga live.
Nashukuru ushauri wetu jamaa kaupokea na show ya dar live ndio ilikua live ikafuatiwa na Bujumbura na Kigali.
Hivyo niwaombe this year sisi tupige kazi ya kupongeza na kushauri tu ili kijana aendelee kujiimarisha zaidi....majisifu tuwaachie wengine maana "kizuri chajiuza..........."
Hongereni sana guys.
Happy new year.





Wale wa povu pia ruksa kucomment.......

pamoja sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Nawe pia Innocizy le super fan, muzee ya mapichaaa...mwaka huu uwe mwema kwako...

Hahahaha nmecheka kwa sauti mpaka nimeulizwa vipii....ikabidi nijibu "panya road" hahahaa maana ningesema jf ingekua hatari...
Nashukuru sana.
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1420288053374.jpg
    1420288053374.jpg
    60.7 KB · Views: 133
  • 1420288099760.jpg
    1420288099760.jpg
    58.8 KB · Views: 131
  • 1420288115836.jpg
    1420288115836.jpg
    56.7 KB · Views: 129
One of best scenes ever katika nyimbo bora ever za star wetu....hiii ni katika nitarejea.....bongo movie wanaweza iga kitu hapa
 

Attachments

  • 1420288223759.jpg
    1420288223759.jpg
    63 KB · Views: 147

Liked · 57 mins ·
Ndugu zangu, Kijana wenu nimechaguliwa kuperform kwenye Tunzo za Wanasoka Bora Afrika#GloCafAwards zifanyikazo tareh 8 mwezi huu Mjini Lagos Nigeria... Tafadhali naombeni Dua zenu ili nikaifanye Kazi Vyema....

(Jus to let you know that your boy Platnumz will be performing live at the 2014 Glo-CAF Awards in Lagos Nigeria 8th Jan 2014... )
10888460_863096973712118_7766255051686135231_n.jpg
 
Back
Top Bottom