Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

katochi kangu kameharibika yaan nlkuwa naumwa kutokuwepo katika hii familia,now nmepata kngine but sio kazuri maana hata hyo show ya jana sitoiona ikitupiwa kwa youtube

Jamani we katotoo. mekumissooo. Heri ya mwaka mpyaaa
 
Basi mie na Bi mkubwa tunafaana aisee......Ugali wa muhogo umenishinda kuupika tuu...unahitajj nguvu kidogo, halafu Mimi mtoto wa baba kuvunja biskuti siwezi....ila kuula tuu, shurti naubadilishia mikao....
Kuupika tu? Ah, mie naupika vizuri...
 
katochi kangu kameharibika yaan nlkuwa naumwa kutokuwepo katika hii familia,now nmepata kngine but sio kazuri maana hata hyo show ya jana sitoiona ikitupiwa kwa youtube
Dah! Pole sana manake mautamu ya humu Youtube za akina Chibu si za kukosa! Anyway, nitakuletea ki-torch changu kwahiyo usikonde...
 
haaa kumbe unajua kupika,bila shaka wifi yetu anafaidi
Mie sina haja kabisa na nyie viumbe manake kama kuna jambo ambalo silitaki maishani mwangu ni stress. Mara zote ninapokuaga single huwa najisikia amani sana kuliko ninapokuwa na mtu...
 
Nasubiria kwa hamu sana kuona hiyo show ya huko Nigeria hata kama itakuwa ni kupitia Youtube.
 
Kwa mujibu wa meneja wa daimond (tale) anakiri kua davido hana bifu na diamond na anasema kila siku anaongea na meneja wa davido(camara) wanapiga stori kama kawaida.

source xxl clouds fm.
 
Kwa mujibu wa meneja wa daimond (tale) anakiri kua davido hana bifu na diamond na anasema kila siku anaongea na meneja wa davido(camara) wanapiga stori kama kawaida.

source xxl clouds fm.
kama hajaongea politics basi hicho ndicho fans wa Diamond tunachpenda.
 

Diamond Platnumz

Liked · 26 mins ·

It's always nice spending time with Legends coz that's where you gat learned more....
Wakati mwingine ni vizuri kukaa na Malegend kwasababu unajifunza vingi...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…