Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa


Hii nimeshapiga..Mungu asaidie chibu aibebe
 
mambo tu yanabana.. afu hapa katikati JF ilifungwa Mzuka ukanikata ghafla Kim nana

Poaa, nlijua ushahama team bwana, sio vizuri hivo uwe unapita kutupa hata hi...
 
Last edited by a moderator:
Diamond Platnumz-Burundi 28-12-2014

 
Last edited by a moderator:
Utu wangu na thamani ina maana kweli hakuvijua,
Licha ya burudani na mapenzi yangu akatimua.



Kile kinanda sasa "tilii tilililiii tilii tililiiiiiiiiii"

Hahahaha... Ngoma hii haijawah chuja maskioni mwangu.
 

Im RIGHT THERE.., JUST VOTED. THANX.
 
Hahahaha... Ngoma hii haijawah chuja maskioni mwangu.

Yani usingizi wangu sijui nliuweka wapi, acha niutafutee, h
nikaja humu labda kuna mtu kauona lakini sijakuta mtu.... lol
 
hivi diamond alipokua anapafom "ukimwona" Darlive kuna maneno ya rap alikua anayatamka mwishoni, ni mageni kwene original song hayapo, kuna yeyote anaweza nipa ile mistari
NB: inafuata baada ya " .. kaka jirani, nenda mwambie fulani, hata mama nyumbani ajue ye ndo roho yangu " pale kwene " mwambie mwenzake nshapoteza dira ..." na kuendelea

cc Chinga One , Kim nana , chige , Innocizy , data
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…