hii ngoma ya platnumz imevuja, should we promote it ama tulay low?
cc kimugina , Innocizy , chige , Chinga One , zai katoto , Kidingi , Eshy m.s
nzuri au mbaya?nimerushiwa hiyo nyimbo ni mduara
nzuri au mbaya?
ni nzuri tu mno, tatizo mi napata shida kuisikiliza..hapa nnapoishi hua nazipinga sana hizi nyimbo halaf wakisikia nasikiliza ntaonekana sina msimamo...nimei play kama mara 20 ila kiheadphone headphone tuSijawahi kusikia nyimbo mbaya ya diamond... iko poa
Sijui kuna tatizo gani... kila nikifuata hiyo link, page inashindwa kuwa displayed.
Kama itakuwa ni mduara atakuwa amenikamata coz', napenda ngoma zenye vionjo vya asili...ni nzuri tu mno, tatizo mi napata shida kuisikiliza..hapa nnapoishi hua nazipinga sana hizi nyimbo halaf wakisikia nasikiliza ntaonekana sina msimamo...nimei play kama mara 20 ila kiheadphone headphone tu
ni nzuri tu mno, tatizo mi napata shida kuisikiliza..hapa nnapoishi hua nazipinga sana hizi nyimbo halaf wakisikia nasikiliza ntaonekana sina msimamo...nimei play kama mara 20 ila kiheadphone headphone tu
Kama itakuwa ni mduara atakuwa amenikamata coz', napenda ngoma zenye vionjo vya asili...
Mkuu BestOfMyKind,
Unaweza kuicheki vizuri hiyo link manake hai-display! Au kama vipi, nitajie jina la wimbo nii-search!
Basi nimeshaitafuta na nimeipata... cc BestOfMyKindMkuu BestOfMyKind,
Unaweza kuicheki vizuri hiyo link manake hai-display! Au kama vipi, nitajie jina la wimbo nii-search!
Kidingi umetisha sanaaaaaaaaaaa!!!Apo unajua alikuwa anamwambiaje #diamondi
dogo unajua staili zako za kuja kuchukua tuzo mpaka nyumbani kwetu unapeleka kwenu unatuacha wakavu wakati sisi tumeanza kitambo mpaka rikilosi anatujua alafu wew unajitia mjuaji mimi simaindi bro kasema anakutamani kishenzi dogo wew
na olewako uludie tena ntakata masikio haya tuone zali kama atakupenda tena shaaaaabashhhhh
poa poa, pole kwa kukuchelewesha nlitoa link ya server nliodownloadia kumbe it doesn't work that way...link ni hiiBasi nimeshaitafuta na nimeipata... cc BestOfMyKind
nimerushiwa hiyo nyimbo ni mduara
nzuri au mbaya?
ni zile za wananjenje au chuchu sound, so sio dizain ya msmall msmall... mdogo mdogo ilikua type ya mchirikuni dizaini ya mdogomdogo???
ni zile za wananjenje au chuchu sound, so sio dizain ya msmall msmall... mdogo mdogo ilikua type ya mchiriku
ni dizaini ya mdogomdogo???
ukiwa unajua kitu, unakifanya vile unavotaka na bado inapendeza...sema awahi kuitoa kama anaitoa manake ishasikika hukudogo anazidi kutubadilishia diet tunazingojajeeee!!!