Huko mwisho mwisho sasaaa...tunaangusha moja moja...
Duuuh ushamezaaa tisha sanaa
Nina shauku hapo
Kutwa kiguuru njian majiran wote wamekuchoka mara chumba ch fulan mtugan kwako usokaa washnda vibarazan yawenzako kuropoka ukome mwana fulan öna uso ulivokukoboka si mrushwa vibaon had kwnye vigodoro uso na haya uson kote wazua migogoro iv we aujion kuwa unakasoro nasema nawe *2
Hehheheeiyaaaaa nakupenda chibu huwa hukosei wallah .....
Dingo lako fulan Kama so lako lajirani yako
ni nzuri tu mno, tatizo mi napata shida kuisikiliza..hapa nnapoishi hua nazipinga sana hizi nyimbo halaf wakisikia nasikiliza ntaonekana sina msimamo...nimei play kama mara 20 ila kiheadphone headphone tu
Aiii Kidingiii...rudia tena, sijasikia etiii...
Hapo mwisho ni mwendo wa mauno hahaa
Haaaaaaaaaaah daimond jamani anaandika kinoma hii nyimbo kama angeendelea hivi! Katamu kinoma
Ni sheeeedr
Kutwa kiguuru njian majiran wote wamekuchoka mara chumba ch fulan mtugan kwako usokaa washnda vibarazan yawenzako kuropoka ukome mwana fulan öna uso ulivokukoboka si mrushwa vibaon had kwnye vigodoro uso na haya uson kote wazua migogoro iv we aujion kuwa unakasoro nasema nawe *2
Hehheheeiyaaaaa nakupenda chibu huwa hukosei wallah .....
Dingo lako fulan Kama so lako lajirani yako
Morning
Naje ase
how valid is this photo wadau??View attachment 218479
cc kimugina , Kidingi , chige , Kim nana , Chinga One , Eshy m.s
baada ya hili kukamilika makala ya ufanano/relevance wa ronaldo na nasibu utakua umefikia asilimia 83Ndio hivo mkuu jana alitubeep insta alipost baada ya muda kidogo akaitoa....