miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Oooiiiii we wamekwerekwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bwah! bwah! bwah! Bwaha! Hivi huyu kitorondo kaingiaje humu....!!We nae kula mikalimati hiyo huna hoja zaidi ya vioja
tunakwereka kwa lipi? hivyo vyiroja vyako, mara oh, coaster 10, mara buku 5, mara Diamond kaenda kwa mganga... hivi huoni unajichoresha tu hapa?Oooiiiii we wamekwerekwa....
Embu ni kiswahili gani?nenda kaoshe k umeamka na utoko sasa unakutekenya
Hivi hujisikii aibu mwanamke unakuwa na matusi ya kudhalilisha uanamke? huyu jamaa zamani nilidhani kwamba ni mtu ambae anahitaji respect kumbe ni mtu anayestahiki kupuuzwa!!!Embu ni kiswahili gani?nenda kaoshe k umeamka na utoko sasa unakutekenya
bwah! bwah! bwah! Bwaha! Hivi huyu kitorondo kaingiaje humu....!!
Ha ha ha mwana dar anaingia popote.Unalo hilo
"virus"
Anti virus ipo
tunakwereka kwa lipi? hivyo vyiroja vyako, mara oh, coaster 10, mara buku 5, mara Diamond kaenda kwa mganga... hivi huoni unajichoresha tu hapa?
akitoka hapo atakuja na habari za ufremason
bwaha bwaha bwaha bwaha! bado ombi langu lile lile, huko kweny kuna stori zipi? Pamoja na sindano kadhaa ambazo zimekuingia bara bara, mengine tunayojadili huku ni haya hapa:Usijichoreshe wewe uliyehongwa peremende....utabebwa
Source: https://mkito.com/charts/top-100-all-timeHizi ni nyimbo 5 zinazoongoza kwenye orodha ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mtandao wa Mikito.com.
1. Diamond - Nitampata Wapi
2. Mwana FA ft Ali Kiba-Kiboko Yangu
3. Yamoto Banda - Ntakupwelepweta
4. Ali Kiba :llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama:
5. Joh Makini - XO
Hebu tupe habari za huko manake tunaona tu kuna kitorondo humu kinaweweseka ile mbaya...Jana Kiba kautia aibu muziki wa bongo fleva. Msanii unaruka ukuta na kuwapotezea wenzio eti kisa wanaongea vizuri na Diamond. Katia aibu sana.
Hebu tupe habari za huko manake tunaona tu kuna kitorondo humu kinaweweseka ile mbaya...
habari ya mondi sio ya Afrika tena, jana kapinda kama MJ, kimyaaa wote
hizo porojo zenu pelekeni huko, hapa hazina mashiko... weka ushahid hapa badala ya kuteletea stori zenu zisizo na kichwa wala miguu!! Hamjaannza leo, mara ubwabwa , mara kenda kwa mganga, mara kamuacha baba ake anaumwa... aaaargh, nyie watu vipi! Hizo stori waachie wenzako ambao kila siku hawana hoja zaidi ya viroja na sio wewe...Diamond aconcentrate na show za nje!za ndani atajipa stress tu hususani akiwa jukwaa moja na kiba. ..nguvu aliyotumia jana kuwakodi masela wa friends rangers ya kina mzozo na bado haikuwa vile. .itamsumbua kisaikolojia japo fans wake wanachukulia poa