Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hebu tupe habari za huko manake tunaona tu kuna kitorondo humu kinaweweseka ile mbaya...

Jana Ali Kiba kapotezwa mbaya kashangiliwa wakati anaitwa stejini tu baada ya hapo watu wananung'unika tu anawaangusha. Diamond kafanya show ya hatari shangwe mwanzo mwisho kuna mamluki walitaka kama kuanza kuzomea ila wakajisahau nao kama kawa shangwe mwanzo mwii. Pia dangote aliwatembezea watu misimbazi kama shukrani.

Yaliyotokea backstage ni aibu kubwaaaa, Ali Kiba kaingia kwa kuruka ukuta watu wanashangaa tu puuu sijui ata walimbebaje yani aibu tupu. Cha kushangaza zaidi akutaka ata kusaalimiana na wasanii wenzake mwanaFA na Shaa wamesukumizwa na wapambe wake kama kuku, sasa wana wanasema eti ni masharti ya mganga wake wengine wanasema hapendi watu haswa wasanii na wadau wenzake wanapokuwa wanaongea vizuri na Dai yani kaacha watu wanasikitika ata ukimwambia mtu hawezi amini haya yanafnywa na yanki wa mjini kama yeye.
 
Jana Ali Kiba kapotezwa mbaya kashangiliwa wakati anaitwa stejini tu baada ya hapo watu wananung'unika tu anawaangusha. Diamond kafanya show ya hatari shangwe mwanzo mwisho kuna mamluki walitaka kama kuanza kuzomea ila wakajisahau nao kama kawa shangwe mwanzo mwii. Pia dangote aliwatembezea watu misimbazi kama shukrani.

Yaliyotokea backstage ni aibu kubwaaaa, Ali Kiba kaingia kwa kuruka ukuta watu wanashangaa tu puuu sijui ata walimbebaje yani aibu tupu. Cha kushangaza zaidi akutaka ata kusaalimiana na wasanii wenzake mwanaFA na Shaa wamesukumizwa na wapambe wake kama kuku, sasa wana wanasema eti ni masharti ya mganga wake wengine wanasema hapendi watu haswa wasanii na wadau wenzake wanapokuwa wanaongea vizuri na Dai yani kaacha watu wanasikitika ata ukimwambia mtu hawezi amini haya yanafnywa na yanki wa mjini kama yeye.

akili ndogo mpuuzi yule, kile kitendo cha kuto-mfollow mtu twitter ni dhahiri kua uelewa wake kuhusu biashara ya mziki ni mdogo..nlikuaga sina mpango wakumponda ila ishu ya jana imdhirihisha kua hafai kupongezwa hata akitoa nyimbo nzuri.
Roho inauma kuona wasanii wakubwa Tz hawana akili. Hongera Chibu mwanangu huna degree ila unajitambua. Mungu amsaidie Nasibu aje kua msanii mkubwa dunani
 
Diamond aconcentrate na show za nje!za ndani atajipa stress tu hususani akiwa jukwaa moja na kiba. ..nguvu aliyotumia jana kuwakodi masela wa friends rangers ya kina mzozo na bado haikuwa vile. .itamsumbua kisaikolojia japo fans wake wanachukulia poa

hemed upigie promo mziki wako sio unapigia promo wenzako,ungekua shujaa kma na wewe ungekua unashea jukwaa moja na chibu na kiba.....otherwise useme kama mziki umekushinda unakomaa na bongo muvi.
 
hemed upigie promo mziki wako sio unapigia promo wenzako,ungekua shujaa kma na wewe ungekua unashea jukwaa moja na chibu na kiba.....otherwise useme kama mziki umekushinda unakomaa na bongo muvi.

Huyo mshamba mwache tu afanye hivyo hana pa kutolea chuki zake za kufungiwa vioo na wasafi, nae kama Kiba anachukia yoyote aliye na mahusiano mazuri na Dai anamchukia Nyembo, Sheta na washikaji wote wa Dangote . Ila wakikutana anajichekeshachekesha.

Mtu kama haupo kikazi mtu anaweka bond na wanaopigana na life sio mambo ya kuuza sura mpaka anazeeka sasa anaanza kulelewa.
 
Huyo mshamba mwache tu afanye hivyo hana pa kutolea chuki zake za kufungiwa vioo na wasafi, nae kama Kiba anachukia yoyote aliye na mahusiano mazuri na Dai anamchukia Nyembo, Sheta na washikaji wote wa Dangote . Ila wakikutana anajichekeshachekesha.

Mtu kama haupo kikazi mtu anaweka bond na wanaopigana na life sio mambo ya kuuza sura mpaka anazeeka sasa anaanza kulelewa.

ye ataendelea kuuza sura wenzake wanaendelea kuuza kazi zao haoo wanasonga internationally.
 
hemed upigie promo mziki wako sio unapigia promo wenzako,ungekua shujaa kma na wewe ungekua unashea jukwaa moja na chibu na kiba.....otherwise useme kama mziki umekushinda unakomaa na bongo muvi.
Mi namshangaa huyu jamaa... hatujawahi kumuona kwenye huu uzi halafu anakuja na stori za kishamba... labda alidhani angepewa kila mmoja hapa ni mshamba kama anavyowadanganya washamba wa kwenye uzi wa Kiba kule...
 
Mi namshangaa huyu jamaa... hatujawahi kumuona kwenye huu uzi halafu anakuja na stori za kishamba... labda alidhani angepewa kila mmoja hapa ni mshamba kama anavyowadanganya washamba wa kwenye uzi wa Kiba kule...

mkaushie tu naona amesha anza matusi lengo lake sio jema anataka uzi ufungiwe.
 
bwah! bwah! bwah! Bwaha! Hivi huyu kitorondo kaingiaje humu....!!

hahahaaaa kama nzi vile, shiiiii fukuza arudi jalalani kwao, mwenye dawa ya rungu apulize embu, this place is so clean meeen!!
 
bwaha bwaha bwaha bwaha! bado ombi langu lile lile, huko kweny kuna stori zipi? Pamoja na sindano kadhaa ambazo zimekuingia bara bara, mengine tunayojadili huku ni haya hapa:
Source: https://mkito.com/charts/top-100-all-time

So, kama unafikiria kwa kutumia kichwa, unaweza kupata jibu inakuwaje nyimbo iliyotoka kiasi cha miezi miwili iliyopita, inaipiga chini nyimbo ambayo ipo hewani kwa karibu takribani miezi sita sasa!

jana tuliwaoverdozi walahi, mara gafla makopo chini mikonoo juu kudaka pesaa, chezeya njaa, Dangote ni kwi kwi haizimwi kwa makopo wala zomea zomea na bado hajawapalia.
 
Sure... kwanza sie wengine life la uswahili limeshatuharibu... mtu akituzingua, tunapiga za chembe live!

Jidanganye kimaandishi. .kama life la uswahili limekuharibu mimi ndo naliharibu hilo life sasa
 
Jana Ali Kiba kapotezwa mbaya kashangiliwa wakati anaitwa stejini tu baada ya hapo watu wananung'unika tu anawaangusha. Diamond kafanya show ya hatari shangwe mwanzo mwisho kuna mamluki walitaka kama kuanza kuzomea ila wakajisahau nao kama kawa shangwe mwanzo mwii. Pia dangote aliwatembezea watu misimbazi kama shukrani.

Yaliyotokea backstage ni aibu kubwaaaa, Ali Kiba kaingia kwa kuruka ukuta watu wanashangaa tu puuu sijui ata walimbebaje yani aibu tupu. Cha kushangaza zaidi akutaka ata kusaalimiana na wasanii wenzake mwanaFA na Shaa wamesukumizwa na wapambe wake kama kuku, sasa wana wanasema eti ni masharti ya mganga wake wengine wanasema hapendi watu haswa wasanii na wadau wenzake wanapokuwa wanaongea vizuri na Dai yani kaacha watu wanasikitika ata ukimwambia mtu hawezi amini haya yanafnywa na yanki wa mjini kama yeye.
alafu wapuuzi puuzi wanajileta hapa eti hawapendi diamond anaringa??? mxiuuuu!! wamesahau dharau za kiba alivotoka kwa Rkelly, hawajui tabia ni kama ngozi, sasa wasubiri awaoneshe nini maana ya dharau, siokutwa kumsingizia diamond na kumzushia kila siku, sasa
msiojua nini maana ya dharau huyo kiba wenu atawaonesha kawapiga wasanii wenzie jana vikumbo stegini wakabaki like :what::what::what: na wale wote waliokuwa wamejipanga kumzomea diamond wakajikuta wanaona aibu wakaamua wagombanie pesaaa, na mbadoooo
 
Jidanganye kimaandishi. .kama life la uswahili limekuharibu mimi ndo naliharibu hilo life sasa
Hoyaaa... sio namba yako hii, hii sio namba ya ku-argue na wauza sura unless kama una lengo la kunitangazia biashara haramu inayolaaniwa na kila mwanadamu!
 
jana tuliwaoverdozi walahi, mara gafla makopo chini mikonoo juu kudaka pesaa, chezeya njaa, Dangote ni kwi kwi haizimwi kwa makopo wala zomea zomea na bado hajawapalia.
bwah! bwah! bwah! vitorondo wanazidi kuingia tu leo humu... kila nikiwauliza pande za kwao wana stori zipi, wanabaki kunya viroja!
 
Back
Top Bottom