Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Huo ndo ukweli kaka! Labda apate ya Zari!
Ukweli upi? Nimekuuliza nani amekuambia anafanya muziki kwa ajili ya tuzo? Nimekuuliza ni msanii gani katika maisha yake yote ya sanaa alikuwa anapata tuzo? Sasa ukweli wenyewe hapo upo wapi? Badala ya kujibu hoja unasema huo ndo ukweli wenyewe... UPI? By the way, hivi mbona ambao hata huwezi kuwadhania wanakuwa na mawazo yale yale ya hovyo hovyo kwamba "mwaka huu huyu hapati!" Hivi akipata au akikosa wewe itakupunguzia au kukuongezea nini?
 
Huo ndo ukweli kaka! Labda apate ya Zari!
ila tuzo c ndo kipimo cha ubora wa msanii na tuzo zake mleta mada amereflect tuzo alizopata diamond saba na muenendo wake kimuziki akaona mwaka huu hana chake,sa sijaona tatizo la yeye kufikiri hivyo alichotaka ni mawazo ya muendelezo wa kile alichokisema.
 
This line, "Zingifuri zingifuri, ungezinga mahala ukakaa, uso mila desturi, usojua tongozwa ukakataa, wajitia mashuhuri, kumbe chaka umechakaa agaaah....! The best song writer, keep it bro.

Karibu sana
 
jamani mwacheni anakula bata na the boss lady, movie ikiisha, atatoa nyimbo mpya...
 
omari londo , mbona umeanza pozi tena? unataka au hutaki?

Kweli nimejikubali mm ni master mind bila kutumia nguvu nimeweza kubdilisha mada kuhusu kibwengo ndomo mpk kujibizana na vibwengo kadhaa wenye hoja za kimajinuni

Wekeni hoja mbona mm nimetoa sababu zangu??
 
Last edited by a moderator:
Mbona team KIMBA makelele mengi??
Tuangalie takwimu zinasemaje...?
Nasema na wewe 24hrs(120000 yt viewers) vs chokatua (???)

Hahahahahahahaa panadol× umeniachaje hoiiii????? Et kimba na chokatua, uwiiiiiii hahahhaa
 
Mashabiki wa timu Wema bwana' baada ya kuimbiwa WEMA mkasuuzika nafsi sasa hivi mcharo kawa mchungu. Halooooooo singifuri singifuri bora ungezinga ukaakaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…