Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Wewe una tuzo gani? Inahusiana na nini?
Isijekua unaongelea tuzo ya BUMUNDA ulilopewa na bibi yako ulivyomaliza darasa la 7!
Nifah, acha kujipunguza akili unaweza ku-listi ni kazi za aina gani na zipi ndizo zenye utaratibu wa kupewa tuzo au kwa vile hoja yangu pale juu mumeshindwa kujibu kwa hiyo munatafutia pa kupatia nafuu
 
Ni afadhri ya wewe umeshajua kwa TZ hakuna wa kumlinganisha nae, lakini si vibaya kama wewe unajua kati ya DIAMOND na Chamelion nani zaidi ukatufahamisha

Diamond ni msanii wa kawaida sana ukiachana na skendo na uchawi wa Kigoma ndo maana anatamba
 
Nasikiliza radio sahvi hapa. Ni Nana tu Sankoro tu kila radio station kama 3 kila nikisogeza frequency NaNa"diamond iz de baddest ever
 
Diamond ni msanii wa kawaida sana ukiachana na skendo na uchawi wa Kigoma ndo maana anatamba
Naomba nikuulize swali kuhusu skendo je huwa anafanya jambo halafu anawaita waandishi wa habari jamani leo nimefanya hiki au waandishi ndo wanaozifuatilia habari zake ??????? Ila kuhusu uchawi siwezi kuuongelea kwa sababu mimi si mchawi kwahiyo kujua fulani ni mchawi na fulani sio siwezi ila wewe utakuwa mchawi mwenzie mumegongana sehemu ndo maana unatulazimisha na sisi tuamini maneno yako
 
Tatizo humu mmejaa watoto na mko addicted to poverty.
 
Nasikiliza radio sahvi hapa. Ni Nana tu Sankoro tu kila radio station kama 3 kila nikisogeza frequency NaNa"diamond iz de baddest ever
Wameshakubali kuwa DIAMOND yupo juu na ndo maana ZARI ALL WHITE PARTY UKUMBI TULIUJAZA PAMOJA NA WAO bila kusahau na JEMBEKA FESTIVAL MWANZA
 
Wameshakubali kuwa DIAMOND yupo juu na ndo maana ZARI ALL WHITE PARTY UKUMBI TULIUJAZA PAMOJA NA WAO bila kusahau na JEMBEKA FESTIVAL MWANZA

Hakuna jinsi lazima umkubali diamond Plutnumz ningumu kumchukia huyu jamaa ase. Nimnoma. The highest paid musician in EA
 
Sankoro kila kona jamani mpaka kerooo!!aaargh diamond we pasua kicha khaaaa!!
 
diamond ni mfano wa kuigwa,anaplan kila kitu achofanya in short yuko vizuri sana
 
MAMA 2015

link hiyoooo ⬆⬆⬆⬆

kupiga kura inaruhusiwa mara 20 kwa kila kipengele kila siku

lets go!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…