samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Nifah, acha kujipunguza akili unaweza ku-listi ni kazi za aina gani na zipi ndizo zenye utaratibu wa kupewa tuzo au kwa vile hoja yangu pale juu mumeshindwa kujibu kwa hiyo munatafutia pa kupatia nafuuWewe una tuzo gani? Inahusiana na nini?
Isijekua unaongelea tuzo ya BUMUNDA ulilopewa na bibi yako ulivyomaliza darasa la 7!