Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
hapana kwa category moja unaruhusiwa kupiga mpaka mara 20 tuu, na wanakuambia kabisa kuwa umefikikia kiwango cha mwisho kwa sikuHata mimi napiga lkn najibiwa "THANK YOU FOR VOTE" nshapiga ka mara 30 lkn cpewi final limit.. hebu wana team nsaidien hapo njue wapi nakoxea plz!!
DinazardeeeeeeeeeSiuon Uzi tena lo
Njoo utetee point yako mkuu! Sisi wengine tumejaaliwa kuona mbali!Kwa wasioelewa mult talented lazima waone dogo amepoteza muelekeo! Ila bado yupo vizuri sana wala hana papara, pia kingine kinachomsaidia Diamond ni ile crew yake ya uongozi!
Kuna kitu watu hawakijui ila ukweli wabongo wengi walichoshwa na nidhamu ya Diamond
Huo ndiyo ukweli enyi mashabiki kindakindaki!
Diamond baada ya nyimbo ya 'my number one' sijawahi kuona kipya kutoka kwake zaidi ya kubabaika tu! Juzi kaamua kufunga kazi na walah kwa ile video nawasubiri basata (kama waliweza kuifungia ya Snura, mimi kwa thatha kimyaa! )
Ukweli ni kuwa kabla Diamond hajatoa 'my number one' alikuwa alitoa mfululizo wa nyimbo mzuri tu! Ila baada ya hiyo sijui ndo kajiloga?
Nataka kujua mashabiki kama watapigia kura jina au kwakuwa kavuma na skendo ya Zari ze boss lady!
vote vote vote vote!
Tukumbushane jamani...kila mmoja humu amepata ile chai yetu..kama bado basi ingia mapemaa ili mida flani uendelee na mishe nyingine bt chakwanza ni 60votes kwa dai na 20 kwa v money...haya twendee sankoroo
mbona mi nikivote napitiliza 20 hawanikatazi au nakosea jaman?
Hahahaaa mi sijui kipenzi, mi wananiambia ntaendelea kesho.