Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

maana yake ni ajiangalie nice alikuwa juu na alishuka kirahisi bila kuelewq
 
flora msoffe wewe as an individual ulishiriki vipi kumuweka msanii yoyote juu? Na huyo diamond umemuwekaje juu hadi leo useme asipokuwa makini utamshusha.?

anawekwa na kura zetu na ndio tunamuweka kwa.kushabikia na kusikiza mziki.wake vinginevyo uniambie anakuwaje star kama sio sisi mashabiki tunaamua.wacha kwere
 
Last edited by a moderator:
ulieandka huna akili,huna hela tulia jenga yko we matofali,msanii ambye n mkubwa inabd aishi kisanaa,unataka aishi kwny nyumba ya matope!
 
anawekwa na kura zetu na ndio tunamuweka kwa.kushabikia na kusikiza mziki.wake vinginevyo uniambie anakuwaje star kama sio sisi mashabiki tunaamua.wacha kwere


Kura zenu na nani bwana! Ukute hujawahi kununua hata DVD moja zaidi ya kununua hizi cd feki zinazouzwa kariakoo, hujawahi kwenda ukumbini hata mara moja. Huna hata moja la kumpandisha zaidi ya kupiga domo mitandaoni
 
Aisee, yaani wewe upokwenye daladala umebanwa unaenda kibaruani unaacha kufikiria majukum yako ya kila siku unamuwaza Diamond mtu ambaye hata hakujui? hii sasa hatari
 
Vote vote votee.
Sambaza upendo.
Mtafurahi na shoo mwaka huu habari ya mujini ni kuvote for davido hutaki pasuka.
Best male.... davido.
Best collab.....david and uhur.
Best live....mr flavour
Sisi tuna deal na category tatu tuu.
Chezeiyaaaa
 
Mziki wa mr.Nice ni tofauti kabisa na wa diamond platnum baby,yaan kuku kapanda baiskeli ulinganishe na nitampata wapi aaaaaaa,tafadhal usimfananishe na mr.nice labda tumfananishe na kina wizkid hivi AMA vepeee
 
Halaf kumbuka mr.nice alikua mlevi,wanawake yeye ,kuhonga yeye,kwanini asifirisike,
Daimond hanywi au kutumia kilevi cha aina yoyote,haendi hovyo club,wanawake anao lakin hahongi hovyo,yeye ni mtu wa kaziii Tu ,,,,,,,
 
Vote vote votee.
Sambaza upendo.
Mtafurahi na shoo mwaka huu habari ya mujini ni kuvote for davido hutaki pasuka.
Best male.... davido.
Best collab.....david and uhur.
Best live....mr flavour
Sisi tuna deal na category tatu tuu.
Chezeiyaaaa
 
Diamond leo yupo live kwenye redio za South Africa sasa yupo Kaya FM
 
Diamond leo yupo live kwenye redio za South Africa sasa yupo Kaya FM

Yani wewe sijui kama hata chupi huwa unakumbuka kuvaa, hivi ungesema Diamond leo ana interview Kaya fm na ukaweka online link ungepungukiwa nini hasa?

Haya hizo redio za ni zipi?
 
Yani wewe sijui kama hata chupi huwa unakumbuka kuvaa, hivi ungesema Diamond leo ana interview Kaya fm na ukaweka online link ungepungukiwa nini hasa?

Haya hizo redio za ni zipi?

Nakusikitikia kama hujui ya mitandaoni usijifanye mjuaji wa kutukana uliza, shame on you. Na sikuwekei.
 
Nakusikitikia kama hujui ya mitandaoni usijifanye mjuaji wa kutukana uliza, shame on you. Na sikuwekei.

Huwezi kuweka suprise ya xxl hapa wewe. Jamaa yenu leo kawaingiza mkenge hii ni wiki yenu ya maumivu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…