Hahaaaa huyu shamuona somewhere humu anataka attention ila ni timu mond huyo. Tena yani.........
Hahahaaaa kazi kweli kweli. Eti anahamia lasmi team mond kwani alikuwa team nani? Watu bhaaanaa
hahahahaha umetisha mkuu unakaba penati hahahaha
karibu team no stress... wahi mapema kabla nafasi hazijajaa
Attention seeker huyu kwani kuhamia hyo timu cha ajabu nini? Teh teh teh multiple id's at work.
Heheheiyaaaaa mapovu yatawatoka mwaka huu....
Team kiba hatukuwa na mtu kama wew sema wew ni team domo ata maandishi yanaongea.
Pole sana
Hahaaaa huyu shamuona somewhere humu anataka attention ila ni timu mond huyo. Tena yani.........
Hahahaaaa kazi kweli kweli. Eti anahamia lasmi team mond kwani alikuwa team nani? Watu bhaaanaa
Attention seeker huyu kwani kuhamia hyo timu cha ajabu nini? Teh teh teh multiple id's at work.
But siwezi kuhamia team mond ila nakubali muziki wake.
Anajitekenya mwenyewe anakata viuno mwenyewe anajijambisha mwenyewe halafu anajizamisha dole mwenyewe! Kazi kwelikweli, watu wengine kama sigara kali tu wanawashwa mbele na nyuma.
We nawe kanjanja tu, wenzako tupo kwenye uzi tunajadili ya maana we unakimbilia huku,
Au lukelo Sakafu..
Heheheiyaaaaa mapovu yatawatoka mwaka huu....
Team kiba hatukuwa na mtu kama wew sema wew ni team domo ata maandishi yanaongea.
Pole sana
Hahaaaa huyu shamuona somewhere humu anataka attention ila ni timu mond huyo. Tena yani.........