Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

aiseeee umeonaaa eee kumbee ndio style hiyoo,Mara I'd nyingi utakuta wao ndio wana I'd kibao humu

afu wao kilasiku wanalalamika oooh teamWCB wana id nyingii, kumbe wenyewe ndo wana ID nyingi,, afu unajua kitu ukiwa unakifanya wewe unahisi na mwenzio anafanya ivoivo kumbe walaaa kujishtukia tu
 
afu wao kilasiku wanalalamika oooh teamWCB wana id nyingii, kumbe wenyewe ndo wana ID nyingi,, afu unajua kitu ukiwa unakifanya wewe unahisi na mwenzio anafanya ivoivo kumbe walaaa kujishtukia tu


yaan wamekaliaa I'd nyingi I'd nyingi kumbe wanajiongelea wao maskiniii,kujishuku shuku huku yaan wao wazuri kweliii sie wabayaa hhhhaaaaaaa aiseee hawa misukule kibokooo
 
Umeonaaa, kumbe tunagombana nao nini sasa jamani.,

cute b sorry kama niliwah kukosea, kumbe tupo pamoja., team best music. Hahaha..

Kila siku chuki kwa kiba na fans wake, hamna kitu kiba anafanya mkakisifia kila siku chuki chuki tu. Yaah sisi ni team kiba na team muziki mzuri, tunapenda mziki wowote mzuri unaoeleweka haijalishi kaimba nani lakini sio sankoro isiyoeleweka ata maana yake.
Sorry siwezi ku vote fo diamond ata kwa bahati mbaya utasubiri sana.
 
afu wao kilasiku wanalalamika oooh teamWCB wana id nyingii, kumbe wenyewe ndo wana ID nyingi,, afu unajua kitu ukiwa unakifanya wewe unahisi na mwenzio anafanya ivoivo kumbe walaaa kujishtukia tu

hahahahahaa.,, sijui wamekula maharage ya wapi leo. Wanajianika wenyewe.

Hakika MUNGU hamfichi mnafki.
 
yaan wamekaliaa I'd nyingi I'd nyingi kumbe wanajiongelea wao maskiniii,kujishuku shuku huku yaan wao wazuri kweliii sie wabayaa hhhhaaaaaaa aiseee hawa misukule kibokooo

mi nishawashtukia Hawa huwa wanatoa siri zao bila kujijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…