Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Heheheheheeee kazi mnayo mwaka huuu endeleeni kukurupuka ivyo ivyo apa kazi ni moja tuu ku vote for davido hamna cha huruma wala nini! Unafiki tuu umewatawala hamna cha zaidi nyie ni sawa na mikia ya fisi hahahaaa team kiba mtatuwezea wapi? Saizi yenu taarabu acheni sisi tuchekechue na nyongo zitawatoka mwaka huu na unafiki na ushushushuu wenu mpaka mkonde kama mnanyonyesha alafu hamna lishe heheheiyaaaaaaa hamna tofauti ya mwanamke na mwanaume wote mmekalia umbea adi makalio yameota sogu bado kuota tuu mkia mjidhihirishe. Wanafiki mnaong'ata na kupuliza puuu kama panya buku yatawashindaaaaaaaaaa.
Nilale zangu mie nisihangaike na watu wanaotembelea fake juu ya fake id full stop

Hii singo ' VOTE DAVIDO ' haina tena mashiko, tafuteni nyingine.
 
Heheheheheeee kazi mnayo mwaka huuu endeleeni kukurupuka ivyo ivyo apa kazi ni moja tuu ku vote for davido hamna cha huruma wala nini! Unafiki tuu umewatawala hamna cha zaidi nyie ni sawa na mikia ya fisi hahahaaa team kiba mtatuwezea wapi? Saizi yenu taarabu acheni sisi tuchekechue na nyongo zitawatoka mwaka huu na unafiki na ushushushuu wenu mpaka mkonde kama mnanyonyesha alafu hamna lishe heheheiyaaaaaaa hamna tofauti ya mwanamke na mwanaume wote mmekalia umbea adi makalio yameota sogu bado kuota tuu mkia mjidhihirishe. Wanafiki mnaong'ata na kupuliza puuu kama panya buku yatawashindaaaaaaaaaa.
Nilale zangu mie nisihangaike na watu wanaotembelea fake juu ya fake id full stop
Ivyo Ivyo= hivyo hivyo
apa= hapa
adi= hadi
sitaki kuona kiswahili kinaharibiwa...haya jojoa ulale
 
Kanye kabisa... kwani usichoamini apo ni nini? Napenda wimbo wake wa UKIMWONA na MAPENZI BASI izo mbili tuu wew kwani ulizani namchukia domo? Kama una chuki na kiba au hupendi wimbo wake ata mmoja ujue wew ni team mkumbo na sio team muziki mzuri

Mbagala upendi?
 
Heheheheheeee kazi mnayo mwaka huuu endeleeni kukurupuka ivyo ivyo apa kazi ni moja tuu ku vote for davido hamna cha huruma wala nini! Unafiki tuu umewatawala hamna cha zaidi nyie ni sawa na mikia ya fisi hahahaaa team kiba mtatuwezea wapi? Saizi yenu taarabu acheni sisi tuchekechue na nyongo zitawatoka mwaka huu na unafiki na ushushushuu wenu mpaka mkonde kama mnanyonyesha alafu hamna lishe heheheiyaaaaaaa hamna tofauti ya mwanamke na mwanaume wote mmekalia umbea adi makalio yameota sogu bado kuota tuu mkia mjidhihirishe. Wanafiki mnaong'ata na kupuliza puuu kama panya buku yatawashindaaaaaaaaaa.
Nilale zangu mie nisihangaike na watu wanaotembelea fake juu ya fake id full stop

Umesema nyie mnacheketua tu au sio???
...na hapa umeandika nn, au ulijisahau???
 

Attachments

  • 1434919649160.jpg
    1434919649160.jpg
    33.8 KB · Views: 79
Hebu tuambie I'd yako ya zmani ukute ni yule anaempondaga haswa Daimond ,,
Mmoja mmoja ndio mwendo
Who is nexttttttttttttt............

Teh Teh unaweza kukuta ni ndugu Sakafu ana chezea watu akili.
 
Umesema nyie mnacheketua tu au sio???
...na hapa umeandika nn, au ulijisahau???

Nilijua tuu minafiki itapita mle heheheeeeeeeee pole sana hapa ni K for real asikuambie mtu.
Na ndo maana kila saa mnang'aa sharubu mle kwikwikwiiiii unafiki na umbea utawaua jamani ila sio mbaya kaandike kwenye gazeti coz ndio jadi yenu.
 
Back
Top Bottom