Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Nilijua tuu minafiki itapita mle heheheeeeeeeee pole sana hapa ni K for real asikuambie mtu.
Na ndo maana kila saa mnang'aa sharubu mle kwikwikwiiiii unafiki na umbea utawaua jamani ila sio mbaya kaandike kwenye gazeti coz ndio jadi yenu.

Yani wewe ni mnafiki mpaka shetani anakukana.
 
Nilijua tuu minafiki itapita mle heheheeeeeeeee pole sana hapa ni K for real asikuambie mtu.
Na ndo maana kila saa mnang'aa sharubu mle kwikwikwiiiii unafiki na umbea utawaua jamani ila sio mbaya kaandike kwenye gazeti coz ndio jadi yenu.

Ushapiga gambe wewe, akili sio yako tena!.....sikushauri kupiga gambe dada angu....ukiona stress znazidi piga chini tu kule......sio kabila lile kwamba huwez hama au kubadili.
 
"Kiba ni stress tu" ha ya ha ha ha ha we mwana wewe

Kiba ni burudani tuu. Yeye mwenyewe kumtazama tuu ni burudan bado hajatoa zile sauti zake naanzaje kustresika? Naona pampasi niliyokuvalisha ushaikojolea Evelyn Salt sasa fanya kuivua ulale huru.
 
Last edited by a moderator:
Yani wewe ni mnafiki mpaka shetani anakukana.

Yaani bora ata mimi mtoto wa kike wew wa kiume utasemaje? Maana ni mbea adi ata tembea yako ishakuwa ya kidada dada acha niishie hapo .
 
Yaani bora ata mimi mtoto wa kike wew wa kiume utasemaje? Maana ni mbea adi ata tembea yako ishakuwa ya kidada dada acha niishie hapo .

Leo hatutukani, ni kawaida yenu mkizidiwa mnachafua hali ya hewa, uzi ufungwe.

Leo ni sindano tu.
 
Back
Top Bottom