Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mtachonga sana ila team hatuhami ng'ooo.
image.jpg
Unaeza kua hujaiona hiyo, kidali pooo kalale nacho
 
Jamani natamani jf ingekuwa inatoa free day kwamba mtu ukifanya kosa lolote hupigwi ban walah kuna watu mngenikoma ila nimewaweka tuu viporo ngojeni kidogo
 
Jamani natamani jf ingekuwa inatoa free day kwamba mtu ukifanya kosa lolote hupigwi ban walah kuna watu mngenikoma ila nimewaweka tuu viporo ngojeni kidogo

Nonsensical b**h.., dont push us p'se.
Unamtisha nani.
Mara ya ngapi unaaga alafu huondoki.
 
Back
Top Bottom