maskiniii mbona humu ndani team kiba wooote wmekimbia???? daah!! hadi huruma yaani, siwaoni popote, njooni bwana, msijiskie vibaya hivyo hata kiba atatoboa tuu cha msingi ajipange tu asilazimishe kuitwa king
Hahahahahah utasikia ohh wimbo wangu hawakawiiiii hawaaa
Diamond toa hiyo mashineeee basi tukate mzizi wa fitina jamaaa huwa hatuangushiiiioi
Omeonaaaa
hajawai kutuangusha lol kuanzia kamwambie hadi mdogo mdogo na nyota bado inang'aa
Kweli hawa chelewi kuja na visingizio wame ibiwa melody mara wame ibiwa mashairi....
Mm kama no 1 fan wake namshauri yafuatayo.
1.kuanza kuimba live maana anaweza
2.kiafrika kashatoboza sahivi akljikite kimataifa....kama ambavyo iyanya ameweka dau kubwa mradi afanye kollabo na minaj nae akomae na ile project ya shaka Zulu na kina trey songs
3.ajaribu kumsamehe na kumsaidia baba ake.no matter ubaya aloufanya yule baba,he's still his father.....aanze kuchuma na Baraka za baba maana za mama zinafurika.
3.atafte mwanamke wa kuoa.
...............ntaendelea
Nilichopenda huku hakuna lawama...kitu ambacho kule mtaa wa pili ni nadra sana, sio insta sio kokote yani hawawezi kuongea bila kumuhusisha dai, big up kwa platnumzzzz
Jamaa anawekeza sana kwenye video hadi raha.. kichupa high quality. nafkiri huu utakua ule wimbo wa "Nikilala ananijia" aliotuonjesha kipande
Nilichopenda huku hakuna lawama...kitu ambacho kule mtaa wa pili ni nadra sana, sio insta sio kokote yani hawawezi kuongea bila kumuhusisha dai, big up kwa platnumzzzz
wale wa mvaa moka wanachungulia kwa mbali halafu wanaenda kuugulia kule kwao.
Naona warumi kawavuruga mmeacha kumpa ushauri domomond mnaanza rush a majungu kwa mfalme lol
naskia mtaa wa pili video ya mwana tayari kitambo wanasubiri lift ya platnumz kuubeba
cjawah kuona video mbaya kutoka kwa diamond tangu aanze mzk
waambie kabisaaaaa wasijewakatuwekea jum tutawatoaje nduki sasa, i cant weit
kwani kuna mtu anabisha bado kuhusu ukali wa Diamond??
Diamond ameshatoka level za usanii wa bongo fleva kwa sasa Dai ni bland.
East Africa nzima hakunaga, nilikuwa Kenya juzi kati nilishangaa Sauti sol wanamzungumzia Dai kama mfano mzuri kwao.