Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
- Thread starter
-
- #561
Diamond yupo level za juu sana !
Tungekuwa na akili tungempa moyo wa kufunika Afrika nzima, badala yake tunaungana na wajinga wa Clouds wanaotaka kumpotezea, wamechemsha.
sijui lini anaachia maana naisubiria kwa hamu
Ndo hapo asee mi sitaki kumtaja nimpe publicityume ongea bonge la point mkuu,kwani p square sijui dbanji hao wote wana nini cha kumshinda diamond bwana sema wa nigeria wana wapa sapoti sana wasanii wao ndio maana wana vuka boda.ila huku kwetu kuna chuki za kilofa tena mijtu imeanzisha bifu za kijinga eti kisa mvaa moka kapotea kwenye ramani ya muziki ha ha ha kumbe walitakiwa wampe kampani mtu wao arudi kwenye game kuliko kujenga chuki bila sababu kwa diamond....
we lala ukisinziaaa....ukisinzia oooh....we lala ukisinzia sinziaaaa
heloooo....... helooooo dariii.....hapo vipi una niskiaa
nina maneno ya kukuambiaaaa
najua yanasemwa mengi mtaaniiiii
kutoka kwa mashoga na jiraniiiii
yana semwa mengii mengiii yalo jawa na ubayaaaa
mara natoka na fulaniiii
tena ana kuja mpaka ndaniiii
yani maneno mengiii mengiiii
wabayaaaaaa.......................
DAAAH MAZEEE HUYU DOGO ANA JUA JAMANI.
Mfalme wa vumbihahahahahaa mfalme????? kwikwikwiiiiiiii
Hiki kichupa kitakuwa shida mpya mjini
Kwenye uandishi ndo ameshindikana kabisa
Mfalme wa vumbi
hajawai kutuangusha lol kuanzia kamwambie hadi mdogo mdogo na nyota bado inang'aa
Mchekiiii
View attachment 202695
huyo binamu au shosti wenu??
track zake bado zina radha,hazichoshi kusikiliza.
radha ni ladha mwalimu.
radha ni ladha mwalimu.
Utajua mwenyewe.
tutakivuruga huku Daniel lradha ni ladha mwalimu.
Kwan tupo darasanii humu???
Si ndio hapo sasa team moka wamepagawa hawa watu.
Upo jamaa angu
Nipo mzazi harakati zina endelea.