Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Attachments

  • 1416327554584.jpg
    1416327554584.jpg
    57.8 KB · Views: 170
  • 1416327636193.jpg
    1416327636193.jpg
    39.9 KB · Views: 153
Last edited by a moderator:
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyo ndo Daimond banaaaa hakuna chezeiyaaaaaaaaaaaaaa,,,Zari ndo maana nakupendajeeeeeeeee kimbizaaa mbayaaaaaaaaaaaaaa

Hahahaha nilijua lazima ushangilie...uknw the project continues
 
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyo ndo Daimond banaaaa hakuna chezeiyaaaaaaaaaaaaaa,,,Zari ndo maana nakupendajeeeeeeeee kimbizaaa mbayaaaaaaaaaaaaaa

Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........
 
Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........

Watakufa mbonaaaa watakua walking dead hhhhhaaaaaa hebu wekeni link tupige kura sieee
 
Jamani mmeitazama "barua kwa diamond" umeimbwa na Dogo toka iringa....ni nzuri na inaelekea diamond atamsaidia yule jamaa...


A real superstar anatungiwa nyimbo jamani....a real superstar jina lake litatumika na watu ili watoke.


Lakini zaidi jina lake litatumika na wwliojiishia ili na wao wasikike tena

ha ha eti walio potea wanatumia jina la mond ili wasikike tena i like it.
 
Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........

ha ha ha hivi yule mvaa moka amesha toa video ya mwana?
 
Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........

wana safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom