Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyo ndo Daimond banaaaa hakuna chezeiyaaaaaaaaaaaaaa,,,Zari ndo maana nakupendajeeeeeeeee kimbizaaa mbayaaaaaaaaaaaaaa
Hahahaha nilijua lazima ushangilie...uknw the project continues
Profesa wa kichina nn??
Bina kuna uzi wa kiba kule chinii au ndo kimtindo ushazimika kwa wasafiiiiiiii
Mi mpaka nasikia baridiiii
usongeee kwenye moto usije ukapotea tukakosa stakeholder mzuriii
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyo ndo Daimond banaaaa hakuna chezeiyaaaaaaaaaaaaaa,,,Zari ndo maana nakupendajeeeeeeeee kimbizaaa mbayaaaaaaaaaaaaaa
Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........
Unajishaua eeh utanikuta pambafuu
Acha tabia za kike.
Jamani mmeitazama "barua kwa diamond" umeimbwa na Dogo toka iringa....ni nzuri na inaelekea diamond atamsaidia yule jamaa...
A real superstar anatungiwa nyimbo jamani....a real superstar jina lake litatumika na watu ili watoke.
Lakini zaidi jina lake litatumika na wwliojiishia ili na wao wasikike tena
Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........
jamaa anajua kuimba ila anaasil flan ya misifa eb mchek hapa
Ni mambo kama haya ndo yanafanya wamchukie bure kijana wa watu.....
Sasa wewe mpaka mwanamke mwenye Bentley anamiminika tuuu mahaba atiii anytime babes hahaha......
Domo mwakani tunadate na mtoto wa Obama kabisa ilii wafeeee kabisa maana kwa zari tuu wanajichafulia nguo.........
Bina kuna uzi wa kiba kule chinii au ndo kimtindo ushazimika kwa wasafiiiiiiii
huyo jamaa ni sho.ga usi sumbuke nae.
Watakufa mbonaaaa watakua walking dead hhhhhaaaaaa hebu wekeni link tupige kura sieee