Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Namie hata sijui kuscreenshot kwa iPad
dogo kamtumia dai msg "hi diamond it's your step son didi"
diamond akajibu "hey what's good my didi?are u still awake? How is SA? See you soon am coming for the mtv award"
#hapaumbeatu

ahahaa sikuwezi mdada looh!!nimefurahi sasa hivi nimekubali kuingia baada ya kulalamika sana
 
Yaani sijui tatizo ni nini!nimefanikiwa kuingia kwa Facebook account sasa hivi ila kwa E-mail address imekataa,nahisi ni netwokrk error

nimejaribu now hata mi inasumbua mara log in with Facebook mara nini! Naona leo kutakuwa na tatizo
 
Good morning wadau..

Hivi mnafahamu kwamba katika mastaa wa Africa, diamond ni namba 3 kuwa na subscribers wengi youtube? Walio mbele yake ni psquare na davido

Sisi ndio wakumfanya awe nambari moja, hivyo basi nenda youtube sasa afu subscribe kwenye youtube channel yake link hii hapa inakupeleka moja kwa moja
⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇
https://m.youtube.com/user/TheDiamo...AhUTjRgKHe3FBF4=&hl=en&gl=TZ&client=mv-google
⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆

Lets goooo..!!!
 
Nitajiju mie na hiki kiantena kinachopiga shoti, kinashika star tv, tbc na itv tu:teeth:

Hahahaaa poyeee kaangalie kwa Kimbley
Mi jana katika kuangalia channel list ndio nikaikuta MTV base na trace Urban lol! Sijawahi kujua kama zipo mi naangaliaga taarifa ya habari tu ITV. Yaani huyu mtoto #diamond ananifanya mi bibi ake nikeshe kwenye TV.
 
Last edited by a moderator:
Mwenyewe sahivi nshakua kama tena wa diamond ha ha kakiwekwa ka link kake nshaenda kama ni kura naanza na nshaenda you tube kujisubscribe huu uteja sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…