Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Ahahaha mi humu ndani waangaliaji wa mpira ndio wanalipia hicho kifurushi!mie kutoa lakimbili kasoro shilingi moja siwezi kwa kweli!muda wa kuangalia hiyo TV ni mdogo halfu nitoe lakimbili?
DSTV Mnatuuua!! 199,000 kwa Premium package ni ghali mno jamani mbona hiviii?mpira tunataka na diamond tunataka tumuone aaarghh
Last edited by a moderator:

