Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

DIAMOND PLATNUMZ Achaguliwa kwenye tuzo za tooXclusive Awards 2015 VOTE.Kipengele cha AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR.
Bonyeza hapa.
Piga Kura sasa!
CLICK HERE
 
DIAMOND PLATNUMZ Achaguliwa kwenye tuzo za tooXclusive Awards 2015 VOTE.Kipengele cha AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR.Upigaji kura ushaanza Jana mwisho Tarehe 8 January, 2016.Na usisahau na GODFATHER PRODUCTIONS kwenye kipengele cha OSCAR DIRECTOR OF THE YEAR.
Bonyeza hapa.
Piga Kura sasa!
CLICK HERE
 
Jamani Diamond ana nyota ya Giza kamgusa tu dokta mwaka matatizo kibao sumbai, namwonea huruma Mwaka.
 
Last edited by a moderator:
Jamani Diamond ana nyota ya Giza kamgusa tu dokta mwaka matatizo kibao sumbai, namwonea huruma Mwaka.

Tazto ni dr alitaka kwenda international kwa kupitia Diamond Plutnumz wakat bdo yy ni local ndio kumemponza. Diamond kasaidia kumchoma vzr dr tak a point.. bila diamond mwaka angeendelea kula pesa za watu
 
Last edited by a moderator:
Jamani Diamond ana nyota ya Giza kamgusa tu dokta mwaka matatizo kibao sumbai, namwonea huruma Mwaka.

Huyu mtu ana impact kubwa sana, wimbo haujapigwa redioni wala TV ila DR mwaka kawa maarufu ghafla TZ nzimaa
 
Last edited by a moderator:
Tazto ni dr alitaka kwenda international kwa kupitia Diamond Plutnumz wakat bdo yy ni local ndio kumemponza. Diamond kasaidia kumchoma vzr dr tak a point.. bila diamond mwaka angeendelea kula pesa za watu

Diamond kamchonaje Dr Mwaka wakati kuna chokochoko zilikuwa zimekwishaanza kwenye social media ????
 
Wandugu

Fungia mwaka hii ya tuxo inginr ya Too Xclusive

Diamond anawania, kumpigia kura ingia katika linki hii

http://tooxclusive.com/feature-2/tooxclusiveawards2015/

Utaona jina lake kwenye kipengele cha kuchagua

BEST AFRICAN ARTIST OF THE YEAR

Hongera Diamond kwa kuchaguliwa kwa tuzo ingine.

1450378320943.jpg
 
Back
Top Bottom