Kwenye category ya #AfricanArtist ambayo alowania D.Platanzania na wenzake akina AKA,Cosper Nyovest,Uhuru na Sarkodie.Hatimaye Wasafi kanyinyakulia TheWinner.Japokuwa walizichelewesha kutangaza tarehe 30disemba2015 afu zeni wakasogeza siku na kutangazwa tarehe 1January2016.Kumbuka kwamba katika kategoriz zote zilitangazwa washindi,isipokuwa kategori alokuwa £Simba azikutangazwa mapema sikujua sababu in nini.Yote Tisa la kumi #TheWinner is DIAMOND P.
#Make Bongoflavor Safe Again and Great Again-Diamond P.
#TeamWasafi all the way.