KASHOROBAN
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 859
- 738
Naamini amewagawa sana wapenzi wake baada ya kujiingiza ktk siasa, kwan mm nilikuwa namtarajia ajiunge na siasa rasmi lkn sijui kaghahiri ila kiukweli uyu kada wa ccm angejiunga na siasa tu kwa muziki na siasa havitangaman, angewauliza bongo movie pia bushoke nadhan atabakia historia km hawa