Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Lazma ifike kipindi akubali kuandikiwa na kununua nyimbo. Bt kpaji binafsi naona kimeisha
 
Pale shughuli ndio imeisha analazimisha watu waendelee kumsikia kwa kutoa nyimbo kila wiki.
 
Hivi wewe mtu anapiga show kila kona ya dunia....investment kama chibu na diamond Karanga...lebo ya wcb inavyoingiza mkwanja....juzi nilikiwa Kenya wakat rayvany anapga show....nilotokwa na machozz jinsi show ilivyojaza....nikasema rayvany wa juzi tu kashapata mashabiki kiasi hichi!!!! Wakat yule jamaa akienda kule hajaz hata restaurant....

Pambana na hali yako kijana.....

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Wazo zuri,watu wameshachoka na style yake moja ya kucheza na kuimba,anatakiwa aongeze ubunifu kidogo.
 
Ndo upeo wako wa kuwaza umeishia apo tuna safari ndefu sana

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app


Hivi umewahi kujiuliza kama Diamond ni mwanamuziki kweli? Dogo ana ngekewa tu ila si mwanamuziki na hata kuimba hajuwi, analazimisha tu.
 
Pale shughuli ndio imeisha analazimisha watu waendelee kumsikia kwa kutoa nyimbo kila wiki.
Kwa hiyo tokea huu mwaka uingie katoa nyimbo ngapi maana miezi saba kuna week nying sana humo

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Neyo kapoza kawa 20%percent wa marekan

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
ndio maana ameanza kuuza karanga coz anajua hilo kuwa mziki umeaanza kugoma
Kwaiyo unamaanisha kua ameanza Ku defense??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Mi nafikiri kwa ujumla kuna shida katika muziki wa bongo kwa sasa wala hili si suala la Diamond pekee, kwani tukisema Diamond anabuma lazima tumuoneshe anaetamba kwa sasa, kama hayupo tafsiri yake nini sasa? Ni either bado Diamond yuko juu au muziki wa bongo kwa ujumla umepoa.

Pia nafikiri sababu ya fame ya wanamuziki wengi kudrop ni "ugumu wa maisha" kwa upande wa Tz pekee kitu ambacho kimefanya watu/wadau na washikadau wawe bize kupambana na maisha na kuachana na mambo ya starehe {ambapo muziki huwa unapenyea hapa} ndio maana kwa nje bado nafasi ya international artist imeshikwa na Diamond, while huku ndani tunaona amepoa. Pia kuna kipindi kiki ilihamia kwenye siasa kitu kilichosababisha hata msanii afurukute vipi hawezi kutrend sana kama zamani.

Tukisema Diamond hasikiki basi wasanii wengine hali zao ni mbaya zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…