Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
je ally k, akae mingapi?

dully akae mingap?

wa mitego akae mingap?

fafanua kotekote [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Some time kiba anatumia akili sana kumantain maana anatengeza mazingira ya watu kummisi afu akija kuachia mashine inakuwa mtafutano
Na domo inabidi afanye ivo afu apunguze kutoa nyimbo kwa mazoea
Kina drake kila siku waachia mashine nawako juu we unasema mashabiki wakumiss utakuwa huna akili

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
f93c0c8b61a8bfcbddd5a05786c58b59.jpg

You tube
d3bf4b48b5dda9e3b83b6efbf44cbc1c.jpg
 
Huyu b shost cjawah kumuelewa kabsaa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mtanii upo?? Kuna kipindi Teckno alikuwa anatoa wimbo kila mwezi karibia naye alikuwa analazimisha kusikika? Huko west kwa siku zinaachiwa nyimbo karibia 10 sasa wewe kaa na kijimbo chako kimoja kwa miaka miwili uone shughuli yake.
Wale wanafanya muziki wa Albam mpaka Leo....Akikaa kimya mwaka mzima akirudi akirudi na ngoma 15 za kwenye Albam huyu hata akiachia ngoma kila wiki sio tatizo hapo anakuwa Anaifanyia promo Albam watu wakanunue labda uniambie na bwana Nasibu nae anataka kutoa Albam mpya
 
Hakuna msanii atakayedumu milele kwny game miaka yote...jamaa anafaham ilo ndomana anawekeza ktk vitu vingine km ktk Nyumba za kupangisha,karanga,perfume,studio ya muziki pamoja na kumiliki wasanii wengine.itafikia hatua atapotea kimziki km inavyowezekana kwa msanii mwingine yeyote yule lakini kupotea kiuchumi ni vigumu mno. Na hiyo ndo inamtofautisha na wengine

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
hawa wakenya nnavowafaham hawachelewi kusema Vee Money ni Mkenya...ila mond kwakua kiingereza ni shida basi wanaeza sema Ni Mkenya aliekulia Tanzania


[HASHTAG]#nawachukiaa[/HASHTAG]
 
Niliwah Kuandika Kuwa Diamond Co Mwandish Mzr, Kwan Ili Uweze Kua Nguli Lazma Uwe Unaandika Au Unanunua Km Huwezi. Mzk Ni Km Movi Watu Wanataka Stori. Watu Wakanijia Juu Kuwa Hata Akiimba Mabata Madogodogo Ata Hit Tu. Mwanamzk Wa Kweli Anaish Kwa Kutegemea Tungo Co Pruducers. Mwangalie Mr.Blue, FA, FdQ, Jide, Profesa Jay, Ulamaa, Sugu Nk, Wanaweza Fanya Lolote Wkt Wowote Kwan Wapo Njema Kichwani. Haya Mambo Ya Kina Mr Nice Na Dudubaya, Co Mzk Asilani. Hata Congo, Mzk Wa Franco Una Thaman Kuliko Wa Bongoman Mpaka Sasa Kwa Sababu Ya Uwandish. Ss Hv Unatoa Ngoma Moja Mwaka Mzma Na Kiki Kibao. Upuuzi Mtupu
Hao uliowataja kuna hata mmoja amekaribia mafanikio ya Diamond kwenye mziki?

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Huo wimbo ni mkali kuliko zile mbili nyingine

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Wale wanafanya muziki wa Albam mpaka Leo....Akikaa kimya mwaka mzima akirudi akirudi na ngoma 15 za kwenye Albam huyu hata akiachia ngoma kila wiki sio tatizo hapo anakuwa Anaifanyia promo Albam watu wakanunue labda uniambie na bwana Nasibu nae anataka kutoa Albam mpya
Chris brown ana album gani anaitangaza asa iv maana naona anaachia wimbo kila baada ya week

Afu kitu kingne kutoa album lazima upige karibia nyimbo zote za kwny album....huwezi achia nyimbo ata mbili tu za kuitambulisha album kama kwl unajiamin kuwa album yako ni kali, kuna ulazima gani wa kupiga almost 1/2 ya nyimbo zilizomo kwny album

Nahitaji kueleweshwa na ww mtalamu wa mziki.....

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Hao uliowataja kuna hata mmoja amekaribia mafanikio ya Diamond kwenye mziki?

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Hivi ngoma za domo za kitambo s zilikuwa na tungo tukufu kabisa...

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom