Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hivi ngoma za domo za kitambo s zilikuwa na tungo tukufu kabisa...

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Hili alilijibu vizuri sana kwenye interview yake NTV Kenya.

Ni akili tu za kujua muziki gani unafaa wapi kwa wakati gani.

 
WCB the Home Of Creativity hivi AbdulKiba yuko wapi siku hizi???

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
He had to change period..Na ukibadilika kuna watu hawatapenda...conversion brings crisis..Jamaa ana chibu perfume,wasafi label, dai karanga n coming soon chibu beats..Anajua kuspot potential talents kwny soko akawasajili wasafi, kuhus kuimba eneka is a hit, kuliko Ngoma zake nyingi...Kusema anapotea una maana gani ...Put it in numbers coz tunaamin numbers do not lie.....Mi naamini chanda chema huvishwa pete angalia endorsement deals znazomfata e.g coca-cola,Voda, na safaricom soon unafikir kwa nn wamemfata platnumz c wengne?

Sent from my HTC_One_max using JamiiForums mobile app
 
Team wenzio washapaniki uko hari tete

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Akili kama hizi ndio znafanya huu mziki hufiki unapotakiwa, we have to support all our musician nasio kuleta issue za timu,nonsense

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
He had to change period..Na ukibadilika kuna watu hawatapenda...conversion brings crisis..Jamaa ana chibu perfume,wasafi label, dai karanga n coming soon chibu beats..Anajua kuspot potential talents kwny soko akawasajili wasafi, kuhus kuimba eneka is a hit, kuliko Ngoma zake nyingi...Kusema anapotea una maana gani ...Put it in numbers coz tunaamin numbers do not lie.....Mi naamini chanda chema huvishwa pete angalia endorsement deals znazomfata e.g coca-cola,Voda, na safaricom soon unafikir kwa nn wamemfata platnumz c wengne?

Sent from my HTC_One_max using JamiiForums mobile app
Anazitafuta izo deal cyo kwamba wanamfata

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Anazitafuta izo deal cyo kwamba wanamfata

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kazi ya marketing manager wa kampuni ni kupromote jina la kampuni esp kwa kutumia watu wenye influence kama wasanii ..sas tz kuna msanii anainfluence ka diamond platnumz...Na ryt now kuna deal za safaricom, na nyingne mkataba wa Voda na coca-cola ukiisha....So wasanii hawatafuti izi endorsement deals znakuja baaada ya kaz kukubalika n ukiwa na influence kubwa kwny siciety

Sent from my HTC_One_max using JamiiForums mobile app
 
f93c0c8b61a8bfcbddd5a05786c58b59.jpg

You tube
d3bf4b48b5dda9e3b83b6efbf44cbc1c.jpg

Hongera Vanessa, na mkae mkijua Vanessa ndo atakuwa mrithi wa Diamond kimataifa
 
Kwa mambo kama hayo ni lazima wasanii wenziwe wamchukie,maana kila kitu kizuri na mafanikio ya kimuziki na kimaisha yanaanza kwake.
 
Kwa siku za karibuni,Diamond Plutnumz{kipenzi cha wengi} katoa nyimbo tatu mfululizo.Kati ya hizo,mbili yaan fire na eneka(hasa eneka),kaonyesha ni jinsi gani anaipenda Nigeria na maudhui yake,yaani hajajificha kabisa.
Lakini mapokeo ya hizi nyimbo mbili naona sio kiviiiiiiile kama enzi zile.Nia yake ni kuteka soko la Africa hasa nigeria.Lakini kwa mapokeo hayo naiman watu wamechoka na tunes za kinigeria coz zimekuwa nyingi sana,si kwake tu bali kila chanel inapiga nyimbo za Nigeria.
So kabla hatujamsahau kabisa na kumuona hana jipya hebu ajaribu kuwaacha hawa watu kwa MUDA na KUJIAMINI KWAMBA ANAWEZA.
Bro umetuhama sana yaani umetusahau saaana kaka,hiyo drop unaitafuta mwenyewe.
Halaf una style unaipenda sana ya kutumia SUBTITLES kwa nyimbo zako ambapo ni typical bongo fleva mfani i miss u n.k.Kwa ushauri tu ni bora uwe unatoa nyimbo mbili,ya kiswahili na kiingereza,najua kwa sasa upo vizuri in english bro

Mhenga


Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Kwa siku za karibuni,Diamond Plutnumz{kipenzi cha wengi} katoa nyimbo tatu mfululizo.Kati ya hizo,mbili yaan fire na eneka(hasa eneka),kaonyesha ni jinsi gani anaipenda Nigeria na maudhui yake,yaani hajajificha kabisa.
Lakini mapokeo ya hizi nyimbo mbili naona sio kiviiiiiiile kama enzi zile.Nia yake ni kuteka soko la Africa hasa nigeria.Lakini kwa mapokeo hayo naiman watu wamechoka na tunes za kinigeria coz zimekuwa nyingi sana,si kwake tu bali kila chanel inapiga nyimbo za Nigeria.
So kabla hatujamsahau kabisa na kumuona hana jipya hebu ajaribu kuwaacha hawa watu kwa MUDA na KUJIAMINI KWAMBA ANAWEZA.
Bro umetuhama sana yaani umetusahau saaana kaka,hiyo drop unaitafuta mwenyewe.
Halaf una style unaipenda sana ya kutumia SUBTITLES kwa nyimbo zako ambapo ni typical bongo fleva mfani i miss u n.k.Kwa ushauri tu ni bora uwe unatoa nyimbo mbili,ya kiswahili na kiingereza,najua kwa sasa upo vizuri in english bro

Mhenga


Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Aya mhenga

the great
 
Back
Top Bottom