Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Eneka mi nakupendaga[emoji7][emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Shit happens...hii industry ya muziki nayo inaweza kukupa kichaa maana mashabiki hawana tofauti na tumbo la mwenye njaa linatamani lijazwe na kila kitu naona Diamond alitamani sana kuwashibisha mashabiki wake ila kuna sehemu haikuenda sawa naamini atarudi kwa nguvu mpya hasa kupitia nyimbo ambazo atashirikishwa na wasanii wengine(collabo) maana kuachia ngoma tatu alafu ziwe na impact ya kawaida as if ni ngoma za msanii wa kawaida duh wale wapopo watakua wanakenua sana pumbavu zao.
 
Diamond anapotezwa na kastudio kake cha WCB record. Beat zote ni nyepesi. Afanye kama zamani kurekodi kwenye studio tofauti ili taste ziwe tofauti
 
Baaada ya kuona post kama ii imekua shared instagram ukaona na ww utafute pa kutokea.....nonses

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
We upo inchi gani mkuuu ??? I miss you imeshatazamwa karibuni million 3 ndani ya siku 15

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Bongo Fleva wapo wengi, si msikilize nyimbo za wengine, mbona hamueleweki?
 
Ifikie kipindi JamiiForums watengeneze uzi mmoja stickie kwaajili ya kumshauri Diamond...
Maana ishakua too much...
Hivi Tanzania haina wanamuziki wengine tofauti na Diamond..!?
 
Kwa siku za karibuni,Diamond Plutnumz{kipenzi cha wengi} katoa nyimbo tatu mfululizo.Kati ya hizo,mbili yaan fire na eneka(hasa eneka),kaonyesha ni jinsi gani anaipenda Nigeria na maudhui yake,yaani hajajificha kabisa.
Lakini mapokeo ya hizi nyimbo mbili naona sio kiviiiiiiile kama enzi zile.Nia yake ni kuteka soko la Africa hasa nigeria.Lakini kwa mapokeo hayo naiman watu wamechoka na tunes za kinigeria coz zimekuwa nyingi sana,si kwake tu bali kila chanel inapiga nyimbo za Nigeria.
So kabla hatujamsahau kabisa na kumuona hana jipya hebu ajaribu kuwaacha hawa watu kwa MUDA na KUJIAMINI KWAMBA ANAWEZA.
Bro umetuhama sana yaani umetusahau saaana kaka,hiyo drop unaitafuta mwenyewe.
Halaf una style unaipenda sana ya kutumia SUBTITLES kwa nyimbo zako ambapo ni typical bongo fleva mfani i miss u n.k.Kwa ushauri tu ni bora uwe unatoa nyimbo mbili,ya kiswahili na kiingereza,najua kwa sasa upo vizuri in english bro

Mhenga


Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Kama anapiga pesa kunashida gani? Arudi nyumbani kuuza sura? Maisha popote pale..
 
I miss you nakukumbuka iyeee ,
I miss you nakukumbuka iyeee.




naomben tofauti ya tafsili wahenga wetu kati ya miss na kukumbuka

Mkuu, neno kukumbuka kwa lugha ya Trump ni remember ila hii sentensi I miss you kwa lugha ya kihenga ni Nakukosa rohoni
 
Ila japo niambie nijue unanafikiria ..maana eeee nakukumbuka ieee ieee

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom