Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Dadake chibu akimpooza kaka yake
 

Attachments

  • 1416459759801.jpg
    1416459759801.jpg
    86.9 KB · Views: 793
Dangote hakutakiwa kuwa na maneno mengi coz yuko na mwingne now me naona akaushe tu mijineno neno hata haina maana
 
Dangote hakutakiwa kuwa na maneno mengi coz yuko na mwingne now me naona akaushe tu mijineno neno hata haina maana

si unajua tena mambo ya TANDALEZ AINT ROYAL.....SO kile kiasili cha maneno mengi ya uswaz bado Kipo japo ashakua mtu mkubwa ila asili ya mtu ni kama ngozi........ pamoja na uswahili wake ila namkubali sana.....BIG UP SANA DIAMOND
 
si unajua tena mambo ya TANDALEZ AINT ROYAL.....SO kile kiasili cha maneno mengi ya uswaz bado Kipo japo ashakua mtu mkubwa ila asili ya mtu ni kama ngozi........ pamoja na uswahili wake ila namkubali sana.....BIG UP SANA DIAMOND

Na kweli huwezi mtenganisha mswahili na maneno daaaa
 
big up kwa mshauri wake ambaye hutengeneza skendo kila diamond akikaribia kutoa ngoma mpya....hii ya kuachana na wema imewakamata sana raia!na ile ya kumtumia dogo kutoa ngoma aliyoiita diamond!........pia inshu yake na zari the boss lady!....jamaa wake wa hiko kitengo amejipanga saaaanaaaa!anahakikisha jamaa yupo mdomoni mwa raia daily
 
Hawa watu wanapendana sana ndo mana wamebaki kila mmoja anaongea lake. Hamna kitu kigumu kuachana na mtu ambae bado unampenda. Wakae chini wamalize tofauti zao na waachane na mambo ya kuendekeza mashabiki. Wangekuwa wana akili wangetumia umaarufu wao kutengeneza pesa ndefu
 
big up kwa mshauri wake ambaye hutengeneza skendo kila diamond akikaribia kutoa ngoma mpya....hii ya kuachana na wema imewakamata sana raia!na ile ya kumtumia dogo kutoa ngoma aliyoiita diamond!........pia inshu yake na zari the boss lady!....jamaa wake wa hiko kitengo amejipanga saaaanaaaa!anahakikisha jamaa yupo mdomoni mwa raia daily

You can fool some people for sometime but...................
 
big up kwa mshauri wake ambaye hutengeneza skendo kila diamond akikaribia kutoa ngoma mpya....hii ya kuachana na wema imewakamata sana raia!na ile ya kumtumia dogo kutoa ngoma aliyoiita diamond!........pia inshu yake na zari the boss lady!....jamaa wake wa hiko kitengo amejipanga saaaanaaaa!anahakikisha jamaa yupo mdomoni mwa raia daily

Whatever the case......mwisho wa siku mtakubali tu kiaina.
 
Back
Top Bottom