Kama memeeeeeeeeeee........
Wema sio hadhi ya platnumz. .. mi ntafurahi akiendelea na project ..
Kama memeeeeeeeeeee........
Kama memeeeeeeeeee
Me namshauri Chibu awaoe wote Wema, Zari, Penny na Meninah...Dini inaruhusu...
Bila kusahau Jokate, atakua king mswati wa bongo
Chezea sukari yaoo...ila shost nimekumiss...
Mi pia nipo busy usiponiona nicheki Insta kwiii kwiiii kwiiiiiu
kimbiza kimbiza husrin bolt
We acha...namkubali had I naumwa u know...
ha haaaa ha..Me namshauri Chibu awaoe wote Wema, Zari, Penny na Meninah...Dini inaruhusu...
ha haaaa ha..
Diamond atabaki kuwa icon ya East Africa, no one else.
Na josee je?
Kwanini anapenda kuvujisha nyimbo zake ?
Au ndio mipango miji kama Leo kavujisha moja