Relaxxxxxxx beibeee,,, leo tunazihesabu tu...
Wenye chukiii........malizia basiiii
Napenda mafanikio yake but i hate ukitombi wake
Wanye bogaaaa.....heheheiyyyyaaaaa....
Napenda mafanikio yake but i hate ukitombi wake
Kawarushie bas mapicha kule au watakuja huku huku kwanza kufikia kesho natabiri kutakua na nyuzi 20 za dai hapana chezeyaaa
Ya kweli haya jamani?stress zipi?
Hahaaaaa wafuasi wake wanasoma kimya kimya huku wamevimba sura lol wanasonyajeee hadi wanajing'ata
mnaoangalia embu tuambieni had sasa ni tuzo ngap na katka hizo alkuwa nominees na kina nani?jaman naumwa kwa furaha
Jamaa anafuta vumbi bado
Shost siweziiiiii....ningeweza ningeenda kuwawekea waongeze pageeee.....heheheee sie tunaongeza tuzo tuuu.....
Jamani punguza munkari,kumbe alihongwa,basi hatari,jamani michirizi ndo nani tena?Ya kuhongwa BMW na bwana mwingineeee.....Shost kwanza niache nimwage radhi...Huyo Michirizi tupa kureeeeeee....
Watu Zariiiii, Zariiiiiiiiii.....
Kiba wamlinganishe na Best naso ndio saiz mojaaaa
Jamani punguza munkari,kumbe alihongwa,basi hatari,jamani michirizi ndo nani tena?
Kachukua mbili hadi sasa....
Alikua na Davido, Mafikizolo na Inyanya kwenye moja ya category
Si unanijuaaa hhhhhhhaaaaaaa wanasingizia wapo busy na Escrow hehhhheeeee wapiiiiii
Hahahhaahh
We mdada wewe
Jamani punguza munkari,kumbe alihongwa,basi hatari,jamani michirizi ndo nani tena?
Wanye bogaaaa.....heheheiyyyyaaaaa....