Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Nliposema mi team Diamond nlimaanisha napenda raha kama hizi habari nzuri nzuri za ushindi daima na airport ntaenda na ua langu mkononi weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaa penda sana kazi yako mondi, hukati tamaa NEVER....
 
KWA mara nyingine, kijana hajatuangusha.... aaahh, na leo tena nyama, mnatuumiza pua jamani!!!!

Leo ndo watajulikana ni akina nani waliambiwa wanye boga!!!!!

http://channelo.dstv.com/2014/11/choamva14-winners/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…