Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Msisahau kumpigia kura diamond mkimaliza hayo matusi

Hatujamtukana.kusudi kuu la mwanzisha uzi ni kuwakutanisha wapenzi na mashabiki wa diamond.ili kumshauri na kumsahihisha pale anapokosea ili azidi kupaa kimuziki na kimafanikio.sasa mzee wa ban anakuja kwa lengo tofauti.ndio maana tukamkimbiza.Mimi binafsi simpendi kibba lakini siwezi kwenda kwenye Uzi Wa kibba na kuanza kumponda kibba.huo
 

mkuu hivi yule mtu ni me au ke? maana naonaga thread zake anachimba sana privacy za watu.
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza, pole sana. Huwez kushindana na mimi kwa chochote we achana na mimi tu

Ondoka tu kwa huu uzi. Unachafua hali ya hewa.
 
Jamani mwenye mapicha ya Daimond ayamiminee humuuuuu hebuu ili wapate kichefuchefu mara miaaaaa na ndimu hazipooo heroooooooooo😎😎😎😎
 
Kwa hiyo K ya Zara inachagua yenye elimu na pesa tu.kwa taarifa yako Zara ameshakuwa na wanaume ambao hawafikii hadhi ya diamond hata robo

Zari ashaliwa na Chibu tusubiri project ya 2
 
Chinga One weka mapicha ya Daimond jukwaa bila picha halinogiiiiii halaf wanaochefukwa wawekee video ya kitorondo mwendawazimu kaingiajeeeee
 
Last edited by a moderator:
Mi ni shabiki wa damu sana tu,ningeshuka saana kama ningekua na hakika dangote anasoma hapa.kwanza nampa hongera kwa discipline ya hela,pili kwa kipaji unachoendeleza.lakini nina shauri upitie kazi za wasanii wakubwa...kwa mfano waweza angalia beyonce,michael jackson kwasababu wao ni wanamuziki waburudishaji utajifunza mbinu mbalimbali za special appearances and shows.kwa sasa ukipanda stejini you are expected to do this and that na mwisho wa siku you dont go far from fans expectations.kuna siku ulienda dodoma kukawa na kesi za speakers na kipaza sauti...I believe waliokununulia x6 wangeweza kukupa vifaa vyako then unapokua na show unafunga mitambo yako unawapa watu burudani.unapoangalia kazi ya mtu jifunze kuendelea zaidi na si kucopy..mdogomdogo video na aye ya davido they are the same scripts different times...you could have done better.bado hauko comfortable kuimba kwa kiingereza,why release bumbum huku lyrics haziskiki?sitaki kukukatisha tamaa lakini lugha ngeni yaweza kufanya uwe kituko bure kama hujarelax.you need to have a serious manager,you need to practice vocal zaidi...ikibidi nenda shule ya vocal,unapenda kucheza...get a proffesionall dance teacher.mwisho wa yote kwnye hizi scandal zako za kina dada iko siku yatakukuta yaliomkuta samson wa kwenye biblia,maana issues za hawa mademu hauna pr nzuri either when you are approached by media au unapoamua kupost on social networks.kuna saa sijui kama ni kizungu shida ama ndo uchizi...movie na project?mie hoi.namaliza kwa kusema kila la heri diamond platnumz,chibu dangote ...mzeiyaa wa project....
 

Ahsante kwa Gazeti na ushauri mzuri huuuuuu utauchukua wapi heaven on desert umwambie boss wako asomee humuuu matumbo na Kim nana mpo wapiii
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…