Hahahaaa ngoja niende u tube nikaangalie nitampata wapi.....
Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.
By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.
Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.
By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.
eh.,.! KWAHIYO UNATAKA NINI LABDA??
Mumshauri akamalizie form four looh, anatia aibu
Mumshauri akamalizie form four looh, anatia aibu
Binam hongera kwa mastaz
Mpe hongera daimond
Kweli hapa hoja mchanganyiko!
Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.
By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.
hiyo masters hata yule beki tatu wa uganda alikuwa nayo na ww dejwi anakusubiri kiwandani kwake ukafunge sabuni....ELIMU SIO VYETI
binam yako huyo
hahahhahaahha
binam yako huyo
hahahhahaahha