Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.

By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.

Binam hongera kwa mastaz
Mpe hongera daimond
 
Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.

By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.

eh.,.! KWAHIYO UNATAKA NINI LABDA??
 
Kweli hapa hoja mchanganyiko!

Haswaaa!
Bwn marko , ndiyo mana hapa kuna wenye kutafuta dawa ya kunguni , dawa za kurefusha mabanzi , kuna wanaojifunza uvinza panazamiwaje! Escrow humuhumu, Tezi dume lipo hapa ect eticetera !
 
Last edited by a moderator:
Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.

By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.

hiyo masters hata yule beki tatu wa uganda alikuwa nayo na ww dejwi anakusubiri kiwandani kwake ukafunge sabuni....ELIMU SIO VYETI
 
hiyo masters hata yule beki tatu wa uganda alikuwa nayo na ww dejwi anakusubiri kiwandani kwake ukafunge sabuni....ELIMU SIO VYETI

Hata ukate viuno kiasi gani , masters sio mkund* useme kila mtu anao.

By the way hongera zake, ameonyesh kuwa no matter how your background is, your dreams are valid.
 

Attachments

  • 1417337961797.jpg
    1417337961797.jpg
    21 KB · Views: 103
Pongezi kwa management ya chibu
 

Attachments

  • 1417338022679.jpg
    1417338022679.jpg
    62.5 KB · Views: 109
Back
Top Bottom