Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
Nshaona kuna watu wanaanzisha matusi makusudi ili uzi ufungiwe....hapo mshafeli
umeona eeh huu uzi ni msafi kwa wasafi so hauwezi kuchafuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshaona kuna watu wanaanzisha matusi makusudi ili uzi ufungiwe....hapo mshafeli
umeona eeh huu uzi ni msafi kwa wasafi so hauwezi kuchafuka
Looh mnahangaika balaaa
Umejitia kimbelembele kufungua thread ya kujifanya kumpa ushauri domomond SAA hz mnaanza jadili watu
This time KiBA is here to stay mtachonga Sana ila ndoo anzidi kupata kick
Naona warumi kawavuruga mmeacha kumpa ushauri domomond mnaanza rush a majungu kwa mfalme lol
Jamani bingwa wa matusi ni shetani mwenyewe ukiona binadamu unatukana ujue wewe ni agent wa shetani hapa Jf
jamaa yenu kala ban la ukweli ha ha ha.
Hahahahahahah amekula ban mkuu?
Can't wait
View attachment 203091
jamaa yenu kala ban la ukweli ha ha ha.
Jamaa anawekeza sana kwenye video hadi raha.. kichupa high quality. nafkiri huu utakua ule wimbo wa "Nikilala ananijia" aliotuonjesha kipande
Jamaa anawekeza sana kwenye video hadi raha.. kichupa high quality. nafkiri huu utakua ule wimbo wa "Nikilala ananijia" aliotuonjesha kipande
Ile track mkuu imetulia sana aisee full kuwapoteza, nadhani team kiba huko waliko haja kubwa inagonga kwenye ch#pi.
Hahaha ni bora wajisalimishe mapema..maana ni ruksa kujiunga team chibu
yule kiongozi wao anae gombana kila siku na le mutuz naona anapita kimya kimya anagawa like tu ana tamani kuingia kundini ila anaona noma.
sijui lini anaachia maana naisubiria kwa hamu