Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Unaona sasa... kumbe mtaji wa kuanzia ni wa kumwaga... nami napiga bei mikorosho yote... mikorosho nini bwana, wakati migesi imejaa hadi sebuleni! Yaani lazima nikutafute tuanze mikakati...

Wala usijali....ila ukifika bungeni utakuwa na kibarua cha kumlinda My Daktari....manake nae kashachukua jimbo bado kuapishwa tu....Naogopa wasije kuniibia kama Machemli nikapatwa na Magharibi ya roho mie....utakuwa bega kwa bega na Shem wako......
 
We unasemaje wewe ? C unasema baada ya kuona Chibu anaanza ukajua hana muda mrefu?? Mi nikakumbuka ilikuwa hivi...!! Enzi hizo nilikuwa sijaacha kusoma magazeti ya Shigongo type! Sasa ilikuwa kila nikikutana na Shigongo type, nakutana na habari za mtu anayeitwa Diamond!!! Mimi nina tatizo moja... nina allergy na majina yanayovuta attention!!! Hata duka lako ukiliita SUPER kufanya nini cjui, kuna hatari nisiingie! Akili yangu inavyonituma ni kwamba u've some weaknesses ambazo unataka kuzi-cover up kwa jina tamu linalovutia huku likiwa limenyunyuziwa marashi! Kwahiyo Dogo ikawa nampotezea tu, kisa, jina la DIAMOND tu! Kama mara mbili tatu hivi nikakuta habari zake kwenye serious newspaper... nikampotezea vile vile... kisa kile kile, sikuwa na sababu za msingi... kwavile tu naona jina lake ni aina ya majina yanayovuta attention ambayo kwa tafsiri yangu ni udhaifu!

Wiki kadhaa baadae(siku chache kabla Mbagala haijakuwa released), hiyo cku nilirudi ghetto mapema! Nikiwa nimetulia nacheki EATV, mara akatokea dogo mmoja hivi ambae simfahamu! Binafsi nikiona mwanamuzi cmfahamu, nabadili channel instantly! Ile nagusa remote... naona jina DIAMOND... mi ehe, kumbe "mbwiga" mwenyewe ndo huyu! Kwa ubishi tu nikataka ku-change hivyo hivyo! Kabla cjafanya hivyo... nikavutiwa na beat ya nyimbo... nikakausha lakini kidole bado kikiwa kwenye remote tayari kwa kubadili channel sekunde yoyote akinizingua!!!

Sekunde chache baadae, dogo akaanza kuimba... mi, eh, kumbe dogo anajua! Nikataka ku-rewind chap chap, nikaona aiyaaa kumbe naangalia tv! Hili la kutaka ku-rewind watu wanaweza kudhani nanogesha lakini wenzangu waliokuwa addicted kwenye movie na series wanaweza kunielewa manake kv kwenye movie na series ni full mambo ya ku-rewind ili utamu uupate vizuri!!! Basi mazoea ya kucheza na remote kwenye series huwa tunayahamishia hadi kwenye tv programs!

Basi bwana, Nenda Kamwambie nikaisikiliza mwanzo hadi mwsiho... nikaona aaaanhaaa, kumbe ndo maana dogo kajiita Diamond ni kweli Diamond! Ikawa sasa nategeshea nimuone tena... ah wapi... sikupata tena hiyo bahati lakini siku chache baadae, nikamuona tena... mi aaaha, yule dogo si ndo huyu... kumbe ndo siku Mbagala inaoneshwa on TV stations kwa mara ya kwanza! Nikamkubali zaidi na zaidi... alipotowa Nitarejea, aaaaah... dogo ndo akamaliza kabisa! I short, simjui na hanijui... yeye anatoka Kigoma mimi natoka Lindi... mbali mbali, wala ukaribu hakuna lakini hata hivyo, kuna wakati nilikuwa nataka kumuunganisha kwenye mchongo fulani, unfortunately ukabuma... nikapiga kimya, lakini Inshallah, naamini ipo siku nitakuja kutoa mchango wangu wa aina yoyote kwake coz' chanda chema huvikwa pete! Na wala sipo Team Diamond... hayo ni mambo yenu nyie wa 1990's lakini penye ukweli lazima usemwe... dogo anajua, na more importantly, he's creative and hardworking than any musician in EA na ndo maana nashangazwa sana na mburullaz wanaosema kwamba Chibu ni mtu anayekwenda kwa kiki za kashfa lakini kila ninapowatwangwa maswali... hakuna anayejibu zaidi ya shouting! Yaani kwa makusudi wanashindwa kuona jitihada binafsi zinazofanywa na Chibu na ndio maana mie nawaita majirani wa Bwana Mcharo wanaokerwa na Bwana Mcharo kula nyama kila siku!!!

Duh! Nimeongea kweli kweli... utafikiri nipo jukwaa la siasa!!

Kaka wote kwa chibu tulianza kwa kusitasita lakini sahivi hutuambii kitu....
Hapo kwenye jitihada hebu kamata hii hapa.
 

Attachments

  • 1416911305775.jpg
    1416911305775.jpg
    26.2 KB · Views: 93
Topic: Diamond awapiku P square on youtube

By heaven on desert
.
Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika
wanapoweka video zao kwenye youtube
wanapata views nyingi ndani ya siku chache lakini
Good news time hii imeangukia kwa mkali wa
Tanzania.

Mmiliki wa hit single ya ‘Mdogo Mdogo’ Diamond
Platnumz ameipiku video ya wakali wa Nigeria P
Square baada ya kupata views nyingi ndani ya
siku nne.

Diamond ambaye video yake ‘Nitampata Wapi’
iliyoweka youtube november 20 ina views
419,112 ,likes 3500,dislikes 400

Huku Shekin ya P aquare iliyowekwa november
17 ina viewers
325,514

ANGALIZO:Kuna watu watakuja na kusema
tunashindana na psquare,hapana isipokuwa kwa
nia njema tuanajaribu kuonesha ni kias gani
diamond anazidi kuukuza mziki wetu ,kwamba
kama wana ijeria wanaweza hta sisi sasa
tunaweza,Ahsanteni)

Yaani wakija utashangaa wataanza kusema hayo uliyoyasema kama hawana utimamu.
 
bado ananijia ndotoni ila nikiamka simwoni,bado ananijia nikilala hakiyamungu sio masiharaaa
 
bado ananijia ndotoni ila nikiamka simwoni,bado ananijia nikilala hakiyamungu sio masiharaaa

Tololotoo totooo tololololoooooooo kale kabeat kanavotwanga hapo halafu pale anapodance na yule mrembo daaaaaah ni hatwariii etiii
 
Wala usijali....ila ukifika bungeni utakuwa na kibarua cha kumlinda My Daktari....manake nae kashachukua jimbo bado kuapishwa tu....Naogopa wasije kuniibia kama Machemli nikapatwa na Magharibi ya roho mie....utakuwa bega kwa bega na Shem wako......
Wewe Kim nana, sie wengine mungu ametunyima akili za darasani, zile za kupata mi A mi B lakini akili za kuweza kuunganisha herufi na herufi na kupata neno, kisha neno na neno na kupata sentensi, mashallah, mwenyezi mungu uwezo huo katujaalia! Ukiandika tena post kama hii moja ya ziada au mbili, trust me, I'll shortly know who's this sister of mine in the name of Kim nana! Lakini kama ni ulinzi, ondoa shaka ila kama amekula za Escrow, nitamtanguliza mwenyewe machinjioni na kumwelekeza kibla ... tena umenikumbusha, ngoja nirudi jukwaa la siasa mara moja manake nina hasira haijapata kutokea!
 
Last edited by a moderator:
waache wajipe moyo kwa sababu baada ya mwaka mmoja watarud kama mwaka jana tu
Sijui kwanini @Moderators wameondoa ile feature iliyokuwa inaonesha "Users who view this posts...!" Dah, manake ingekuwa tunawa-enjoy ile mbaya wanavyotusoma huku wakiwa wamefura kwa hasira na husuda!!!
 
wanapita hapa kimya kimya presha ikipanda wanaenda kujipa matumaini kwenye ule uzi wao, wenye comments za kupeana moyo wao kwa wao, nothing about kiba
Ahh, wapi... hawapiti wala nini... wanatulia kabisa na vigoda vyao... inda ikiwabana, wanaenda yuu tyubu na kuangalia "Nitampata Wapi"... stress zikipungua ndo wanarudi kwenye post yao kuangalia ikiwa Papaa Matola ametoa ofa mpya!!! Nchi ina viroja hii...
 
nime tulia zangu maskani baada ya kazi now nakula ngoma za diamond.....hii kitu nita mpata wapi ni matata sana hasa uisikilize kwenye kiki la home theatre duuh balaa tupu.
 
Back
Top Bottom