Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Huko insta anaitwa MWANA AFRIKA sio DAR tena hahaha.
 

Attachments

  • 1417525420278.jpg
    1417525420278.jpg
    52.2 KB · Views: 156
Hao walioanzisha Uzi kwamba kasahau tuzo ni mazuzu wa kupuuza hata kuwajibu hafai
 

Attachments

  • 1417526202134.jpg
    1417526202134.jpg
    57.2 KB · Views: 189
  • 1417526218736.jpg
    1417526218736.jpg
    43.5 KB · Views: 174
  • 1417526230365.jpg
    1417526230365.jpg
    71.8 KB · Views: 175
  • 1417526241621.jpg
    1417526241621.jpg
    43 KB · Views: 172


10356266_10203523521221764_846176143520998480_n.jpg

MBONI MHITA

Nimetua Salama. Leo nikiwa kwenye ndege kutokea South Africa niligundua nimekaa na Diamond Platinum. Kwa shangwe na furaha na utaifa wangu nikamsalimia kwa bashasha nikiwa na lengo la kumpongeza. Jamani hiyo pozi aliyonifanyia. Je ucheshi wako mdogo wangu ni wa stage tu au? Bali sikuacha hivyo hivyo wakati wa kushuka nikamwambia mwenzie, kuwa wamfundishe mwenzao kuongea na mashabiki. Jibu lake..."Dada msamehe kakasirika maana kasahau tuzo South". Naomba ujirekebishe mdogo wangu.
.......MBONI MHITA
 
Anatafuta Kiki tu....angekaushiwa na wale majizi wa escrow asingemind....

Akwendreee huko....
 


10356266_10203523521221764_846176143520998480_n.jpg

MBONI MHITA

Nimetua Salama. Leo nikiwa kwenye ndege kutokea South Africa niligundua nimekaa na Diamond Platinum. Kwa shangwe na furaha na utaifa wangu nikamsalimia kwa bashasha nikiwa na lengo la kumpongeza. Jamani hiyo pozi aliyonifanyia. Je ucheshi wako mdogo wangu ni wa stage tu au? Bali sikuacha hivyo hivyo wakati wa kushuka nikamwambia mwenzie, kuwa wamfundishe mwenzao kuongea na mashabiki. Jibu lake..."Dada msamehe kakasirika maana kasahau tuzo South". Naomba ujirekebishe mdogo wangu.
.......MBONI MHITA

Heheeeeee alikua anataka dudu tu huyu bora Daimond alimchenjiaaa
 


10356266_10203523521221764_846176143520998480_n.jpg

MBONI MHITA

Nimetua Salama. Leo nikiwa kwenye ndege kutokea South Africa niligundua nimekaa na Diamond Platinum. Kwa shangwe na furaha na utaifa wangu nikamsalimia kwa bashasha nikiwa na lengo la kumpongeza. Jamani hiyo pozi aliyonifanyia. Je ucheshi wako mdogo wangu ni wa stage tu au? Bali sikuacha hivyo hivyo wakati wa kushuka nikamwambia mwenzie, kuwa wamfundishe mwenzao kuongea na mashabiki. Jibu lake..."Dada msamehe kakasirika maana kasahau tuzo South". Naomba ujirekebishe mdogo wangu.
.......MBONI MHITA

Kwa nguo gan hizo za chama chetu? Hata ka n mm nakuchunia aisee.
 


10356266_10203523521221764_846176143520998480_n.jpg

MBONI MHITA

Nimetua Salama. Leo nikiwa kwenye ndege kutokea South Africa niligundua nimekaa na Diamond Platinum. Kwa shangwe na furaha na utaifa wangu nikamsalimia kwa bashasha nikiwa na lengo la kumpongeza. Jamani hiyo pozi aliyonifanyia. Je ucheshi wako mdogo wangu ni wa stage tu au? Bali sikuacha hivyo hivyo wakati wa kushuka nikamwambia mwenzie, kuwa wamfundishe mwenzao kuongea na mashabiki. Jibu lake..."Dada msamehe kakasirika maana kasahau tuzo South". Naomba ujirekebishe mdogo wangu.
.......MBONI MHITA

Isikute ndo alomzomea fiesta 3D hanaga mambo ya ivyo
 
Back
Top Bottom