Hilo la kwamba tatizo ni vijana nimeshalisema vile vile... mashabiki maandazi ni tatizo kwenye tasnia zetu... na ni bahati mbaya sana kwamba wasanii wetu hawana professional management manake wangekuwa na professional management, basi wangemshauri Diamond aombe radhi... si kwa sababu ya kauli aliyotoa (Diamond) bali aombe radhi kwa niaba ya mashabiki wake ambao wamevuka mipaka!Tatizo siyo Diamond wala Davido, tatizo ni vijana mashabiki maandazi wa Diamond na Vitecno vyao kudhani matusi ndio ushabiki.