Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond achukua tuzo nyingine nchini marekani.......#all we do is win win no matter what...!!!!
 

Attachments

  • 1418907432681.jpg
    1418907432681.jpg
    57.5 KB · Views: 251
nna swali wadau...kwenye video ya moyo wangu kuna party diamond anakutana na wema akifanyiwa make up kwa ajili ya movie i think so...ie ilikuwa imepangwa au ilitokea accidentally
 
nna swali wadau...kwenye video ya moyo wangu kuna party diamond anakutana na wema akifanyiwa make up kwa ajili ya movie i think so...ie ilikuwa imepangwa au ilitokea accidentally

Ile ilipangwa....Chezea Adam Juma
Ila mimi napenda pale petrol station wale wahudumu wanavyocheza nae
 
..Samahani, ile Morano alimuachia?
au...kama alimuachia sasa anajisikiaje
anapoiendesha?
 
naona kiba anamkubali sana diamond…kwenye video yake mpya naona kanyoa kama diamond
 

Attachments

  • 1418985688063.jpg
    1418985688063.jpg
    63.5 KB · Views: 178
  • 1418985707059.jpg
    1418985707059.jpg
    55.1 KB · Views: 172
  • 1418985732624.jpg
    1418985732624.jpg
    58.8 KB · Views: 172
  • 1418985749410.jpg
    1418985749410.jpg
    52.2 KB · Views: 157
  • 1418985815303.jpg
    1418985815303.jpg
    52.2 KB · Views: 162
  • 1418985830229.jpg
    1418985830229.jpg
    48.3 KB · Views: 157
  • 1418985845630.jpg
    1418985845630.jpg
    48.5 KB · Views: 157
  • 1418985862354.jpg
    1418985862354.jpg
    85.1 KB · Views: 166
Inshu za kifamilia kuleta jf inahuuu???? huku nani atakusaidia zaidi ya kujichoresha tu????
mie huwa nashangaa labda sielewi!!!
 
Diamond Platinumz ana CV kubwa kimataifa !
Anaitangaza vyema Tanzania kwa kazi zake zinazotokana na kujituma, kujitambua, kuipenda na kazi yake.
Tembelea mwenyewe hapa

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Diamond_Platnumz
 
Back
Top Bottom