Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mtusi wangu ananiambia sina mapenzi kama ya diamond. Eti diamond anajua mapenzi. 😂
 
Subirini nyakati. Hamjiulizi umaarufu na utajiri wa ghafla unatoka wapi?

Hamjiulizi katika bongo movie olokuwa hivi hivi kwa Kanumba?

Hivi mnajua kuwa Michael Jackson kwa sababu gani aliimba wimbo wa heal the world akionyesha mauji na unyanyasaji wa wapalestina na somalia? Nini kilimkuta baadae?

Hivi hamjiulizi umaarufu wa Bob Marley ulikujaje? Mnajua kuwa kifo cha Bob na Michael kimsingi vina source sawa - conflicts na hao secret societies wanaomuwezesha na kumpa umaarufu kupitia umiliki wao wa vyombo vya habari? Wakitaka ujulikane ni sekunde tu? Jiulize au fuatilia Robert Nesta Marley ilikuwaje akaitwa Bob? Unajua?

Basi, nimesema ni masuala ya muda tu lakini usione vyaelea, vimeundwa ndugu yangu.

Unataka kuniambia diamond yupo secret societies nitakuwa nakupiga % 100! yule anatumia scandal za wanawake kusafirisha madawa ya kulevya n wapo vigogo wenye hela tena kwenye ctase tinye wanamtumia dogo na yule hawezi kudakwa maana tayar ameshajijengea jina kubwa
 
C aoe waze bila ndoa ili kiwe nn...
Watt wa mitaani wanatosha asituletee balaa
 
Subirini nyakati. Hamjiulizi umaarufu na utajiri wa ghafla unatoka wapi?

Hamjiulizi katika bongo movie olokuwa hivi hivi kwa Kanumba?

Hivi mnajua kuwa Michael Jackson kwa sababu gani aliimba wimbo wa heal the world akionyesha mauji na unyanyasaji wa wapalestina na somalia? Nini kilimkuta baadae?

Hivi hamjiulizi umaarufu wa Bob Marley ulikujaje? Mnajua kuwa kifo cha Bob na Michael kimsingi vina source sawa - conflicts na hao secret societies wanaomuwezesha na kumpa umaarufu kupitia umiliki wao wa vyombo vya habari? Wakitaka ujulikane ni sekunde tu? Jiulize au fuatilia Robert Nesta Marley ilikuwaje akaitwa Bob? Unajua?

Basi, nimesema ni masuala ya muda tu lakini usione vyaelea, vimeundwa ndugu yangu.

Sijui kwanini watu mnapenda conspirancy theories. Ingekuwa kweli basi asingekuwa ana invest ela nyingi na juhudi nyingi kwenye kazi zake.
Watu kama nyinyi ndiyo mnaotaka kila mtu awe maskini akitokea mmoja akawapga gap mnaanza story za kujipa matumaini.
Hivi mtu akiwa mashuhuri ndiyo asife? Kanumba alikufa coz kila mtu ataonja umauti, ukishazaliwa lazima ipo siku utakufa tu.
Tafakari acha mawazo mgando kijana.
 
achana nae huyo... yaani Al jazeera waache kuonyesha machafuko ya syria na huko palestina au wanaojitoa mhanga Iraq eti wamuonyeshe Dangote... maavi! Al jazeera wapo busy na habari za mauaji bwana!

Sijui unabisha kitu gani wakati hujaona, mimi nimeona asubuhi ya leo hicho kipindi, wewe unaleta ubishi tu wa kilabuni au mbege zimepanda?
 
ajitahidi amtotoleshe zari kamoja ka kike, kuna mahali nliona zari anasema anatamani wa kike
 
Cc: Chinga One Kim nana chige Evelyn Salt
1419072372670.jpg
 
Last edited by a moderator:
Msanii lazima maisha yake yawavutie watu basi dai amefanikiwa sana kuhuu hilo mnaomlinganisha na wasanii wa hapa local mtasubir sana
 
Sijui kwanini watu mnapenda conspirancy theories. Ingekuwa kweli basi asingekuwa ana invest ela nyingi na juhudi nyingi kwenye kazi zake.
Watu kama nyinyi ndiyo mnaotaka kila mtu awe maskini akitokea mmoja akawapga gap mnaanza story za kujipa matumaini.
Hivi mtu akiwa mashuhuri ndiyo asife? Kanumba alikufa coz kila mtu ataonja umauti, ukishazaliwa lazima ipo siku utakufa tu.
Tafakari acha mawazo mgando kijana.

well said
 
Subirini nyakati. Hamjiulizi umaarufu na utajiri wa ghafla unatoka wapi?

Hamjiulizi katika bongo movie olokuwa hivi hivi kwa Kanumba?

Hivi mnajua kuwa Michael Jackson kwa sababu gani aliimba wimbo wa heal the world akionyesha mauji na unyanyasaji wa wapalestina na somalia? Nini kilimkuta baadae?

Hivi hamjiulizi umaarufu wa Bob Marley ulikujaje? Mnajua kuwa kifo cha Bob na Michael kimsingi vina source sawa - conflicts na hao secret societies wanaomuwezesha na kumpa umaarufu kupitia umiliki wao wa vyombo vya habari? Wakitaka ujulikane ni sekunde tu? Jiulize au fuatilia Robert Nesta Marley ilikuwaje akaitwa Bob? Unajua?

Basi, nimesema ni masuala ya muda tu lakini usione vyaelea, vimeundwa ndugu yangu.
Bob ni acronym/abbreviation ya Robert kama ilivo Bill kwa William au Ted kwa Edward
 
Back
Top Bottom