Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wengine walitisha hivyo hivyo.. Jasiri haachi asili.... Afya yake ni muhimu kuliko umaarufu wa papuchi!!!
Huu Uzi wa wassssaffii umefunguliwaa...Safi sanaaa...
Safi saaanaaa
Jana nlikonda ghafla....nlikuta Uzi wa wastaarabu umefungiwa
nilipitwa kumbe ulifungwaaa
until now viewers 25000+mkuu chibu siku ile tulipiga ngapi?lazima watukome
Nakumbuka Diamond kabla ya masaa 24 kufika alikuwa na viewers zaidi ya laki...Kiba leo ni siku ya tatu ajafikisha laki moja. Diamond kiukweli yupo vizuri sana na anakubalika zaidi haswa nje ya nchi. Kiba nae anafanya vema akikaza anavyokaza nae atafika pazuri asilale tu sana.
ajitahidi amtotoleshe zari kamoja ka kike, kuna mahali nliona zari anasema anatamani wa kike
wazee wa tetesi wanasema sembe, ila mi sijui nachojua tu ni tajiri na ex huz ni tajiriWadau,
Hivi Zari anapata wapi utajiri wake ?
Maana ana nyumba kama hoteli, na magari ya billions of Shs