mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
kwa mujibu wa orodha ya 2014 ya vitu vilivyotafutwa zaidi kwenye Google ndani ya Tanzania.
Diamond yupo kwenye kumi bora, akiwa ni mtu pekee kwenye hiyo kumi bora akimfunika mpaka rais wetu Kikwete.
Diamond yupo kwenye kumi bora, akiwa ni mtu pekee kwenye hiyo kumi bora akimfunika mpaka rais wetu Kikwete.