Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
mambo c ndo hayo... we hujui kwamba kuna mtoto humu namlia mingo kwahiyo inabidi nijipaishe ili niue tembo kwa ubua...
Hahahaa..halafu nlisahau, ujue wanaume wa mchinga wanapenda sana, full kubeba handbag kama Diamond, yani mahaba mazito kama neneee....!
Yani hao kigoma wanasubiri. ..