Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baada ya hili kukamilika makala ya ufanano/relevance wa ronaldo na nasibu utakua umefikia asilimia 83
Safi sana mungu ni mwema ahsante sana zari! Huyu mwanamke anajitambua sana!
how valid is this photo wadau??View attachment 218479
cc kimugina , Kidingi , chige , Kim nana , Chinga One , Eshy m.s
Usiku wa jana diamondplatnumz alipost ujumbe huo na kuambatanisha picha ya ultra sound aliyopiga zari kuwa yupo mbioni kupata mtoto.. na baada ya dakika chache akaufuta.. sambamba na hilo zari nae alipost ujumbe akiwa anachukuliwa vipimo hivo vya ultrasound kwaajili ya kuangalia mimba inaendaje.. na kwa tulio fatilia comment katika page ya zarithebosslady tuliona diamond kacomment neno (LOL) kuashiria amefurahia.. lakin post hizo zote hazikudumu sana wakazifuta..lakin Udakutz imefanikiwa kuzinyaka.. so DIAMOND NA ZARI SASA TUNAWEZA SEMA NI BABA KIJACHO NA MAMA KIJACHO.. WACHA PROJECT IENDELEEE.. hapa...
Mwaka mpya diamond huenda akajaaliwa mtoto..
Mjumbe hauwawi quoted instagram
how valid is this photo wadau??View attachment 218479
cc kimugina , Kidingi , chige , Kim nana , Chinga One , Eshy m.s
how valid is this photo wadau??View attachment 218479
cc kimugina , Kidingi , chige , Kim nana , Chinga One , Eshy m.s
how valid is this photo wadau??View attachment 218479
cc kimugina , Kidingi , chige , Kim nana , Chinga One , Eshy m.s
nimesikia nyimbo ya chibu kaimba maadhi ya style za akina AT unaitwa naongea na wewe sijui kauachia au umevuja ila nimeupenda ni mzuri.
I am sure kuna watakaodai kamwimbia wema.
Kuna wengine watadai ni Dogo kwa team pinzani pia.....
Hio ndo raha ya kuwa fanani...unaachia hadhira ijitaftie majibu yenyewe.
mwenzako mimi turufuu, si garasaa.. mwenye nyota ya umaarufu.. si kupapasaaa... tena jukeri la nguvu kwa karataa ile hodari manguvu si kwasakwasaa... hahaaa sijui ndo ivo lol raha sana kuimba jaman
cc: Kim nana Paula kilaki chige
Aiseeerrr....hebu endelea tenaaaaa na sauti yako nzuri kweli(nimeisikia mawazoni)
kutwa kiguru njiani majirani wote wamekuchokaa...mara chumba cha fulani.. mtu gani we kwako usiokaaa... washinda vibarazaniii.. ya wenzakoo kuropokaa.. ukome mwana fulani ona uso ulivyokukobokaaa...
hahaaa aisee hii inaitwa makavu liveee
Me sijakariri mpaka nsikie akiimba
Hahaa mi naisikiliza hapa
mwenzako mimi turufuu, si garasaa.. mwenye nyota ya umaarufu.. si kupapasaaa... tena jukeri la nguvu kwa karataa ile hodari manguvu si kwasakwasaa... hahaaa sijui ndo ivo lol raha sana kuimba jaman
cc: Kim nana Paula kilaki chige
Me nimeweka headphones hapaa naisikiliza.....sio fair kwa hiii ngoma iwe kama ukimwona au lala salama aseeee.....aifanye kama mdogo mdogo....licha kuvuja aendelee kuitoa pamoja na video.
Me nimeweka headphones hapaa naisikiliza.....sio fair kwa hiii ngoma iwe kama ukimwona au lala salama aseeee.....aifanye kama mdogo mdogo....licha kuvuja aendelee kuitoa pamoja na video.